Putin Atuma Ujumbe kwa India Baada ya Kumtusi Mtume Mohammad. Je, Biashara ya Mafuta Kati ya Urusi na India Kukwama?

Hoja mufilisi. Maelezo mengiii lakini ni pumba tupu. Kitu cha kwanza ungejkuliza kwanini waislamu wangi wanaiunga mkono Russia kwenye hii vita? Tuchukulie mfano nafasi ya Urusi akae china au Nigeria, je waislamu wangeunga mkono China au Nigeria? Na kama wangeziunga mkono je ni kwasababu gani? Ungejiuliza hayo maswali ungepata majibi kabla ya kuandika huo muharisho wako hapo juu
 
Wapiganaji mahiri wa kichechen ni waislamu na Putin anataka apate uungwaji mkono wao!
 
Hivi watu mnachukulia poa sana biashara ya mafuta eti!! mafuta ni bidhaa inayouzika kokote kule... akikataa India kuna makampuni mengi yanafanya biashara hata isyo halali yatanunua tu na kuuza huko India na Ulaya..
[emoji3][emoji3][emoji3] Pro Russia mnachekesha sana
 
Nipe majibu wewe, hacha kuruka ruka
 
India baada ya kurubuniwa na NATO asinunue mafuta ya mrusi badala yake anunue kwa mwarabu putin ameamua kumchonganisha na matajiri wa mafuta...
game bado mbichi sana!
Inawezekana upo sahihi kabisa. Putin kazidiwa kete na NATO kwa India, alizani itakuwa rahisi India kununua mafuta yake.
 
Aisee wahindi wabaguzi sana, hata kwny makampuni yao hapa bongo tunaona.
 
UAE tayari wameanza Kumuunga Mkono Putin.
 
Hivi watu mnachukulia poa sana biashara ya mafuta eti!! mafuta ni bidhaa inayouzika kokote kule... akikataa India kuna makampuni mengi yanafanya biashara hata isyo halali yatanunua tu na kuuza huko India na Ulaya..
Warusi mna matatizo kwl siyo bure
 
Hitler mwanzon alikuwa anaonesha dalili za kuishinda vita aliyoianzisha sabab akikinzana na mataifa ambayo yalionekana kuitawala dunia kimabav , ila mataifa aliyochagua kushirikiana nayo ndo yalimponza sabab yalikuwa na skendo chaf , the same Putin anarudia mwaka 2022
 
Waislamu duniani lazima wawe wavumilivu na wepesi kuelewa mambo.
Huyo afisa hakutusi kama msimamo rasmi wa India, na hakiwakilishi chama tawala wala serikali ya India.
 
Putin lazima awajibishwe kwa njia yeyote ile hata kama akitafuta huruma ya dini. Diplomasia yake na India ikilega lega, ndo hivyo mafuta yake atayanywa. Magharibi ni hatari sana, hapa wananfitinisha na India.

Hapa Warusi watakupinga ila kuna ukweli.
Umeandika pumba Sana hakuna binadamu anayeweza kumuwajibisha Putin hapa duniani.wakati magharibi wanapigia kampeni mambo ya ovyo kama ushoga.putin akilaani watu wanaoua watu wenzao Lisa dini zao unasema kakosea.mimi ni mkristo na Putin ni mkristo na ukristo umegawanyika sehemu mbili ukristo wa mashariki na Wa magharibi huu ambao wamagharibi ambao wanauharibu Kwa kuingiza ushoga.kwa hiyo wamagharibi wakisapoti ushoga wako Sawa ila Putin akikemea uuaji wa watu ovyo kisa dini yako unasema anatafuta kuungwa mkono nyie wasapoti ushoga bwana.
 
Hakuna binadamu anayeweza kumgusa/kumuwajibisha Putin Kwa sababu nchi Ile ni huru wanaongoza kitechnoligia,kiuchumi wapo vizuri wanaelimu bora.wanaounga mkono NATO wanaunga mkono ushoga Sasa Putin akikemea vitu viovu eti hawataki
 
Hitler naye alipeleka utapiamlo ulaya??
 


😱😨😱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…