Putin Atuma Ujumbe kwa India Baada ya Kumtusi Mtume Mohammad. Je, Biashara ya Mafuta Kati ya Urusi na India Kukwama?

Putin Atuma Ujumbe kwa India Baada ya Kumtusi Mtume Mohammad. Je, Biashara ya Mafuta Kati ya Urusi na India Kukwama?

Putin Ni Mkristo Orthodox,
Wapi na wapi , Na Uislam
images.jpeg
 
Usishangae Al shabab,Boko Haram,al queda,Hizibollah wakitangaza kwenda UKRAINE kumwunga mkono Putin!
Hao wanachoweza ni kujilipua tu kwenye kadamnasi kama masoko hawana ujuzi wa vita vya kisasa hata wakienda huko watafanya nini maana watu wamesambaa,sanasana watapukutishwa wote na Snipers
 
Ndio akili zako za kufikiri zimeishia hapo?

Wachina wanaoshirikiana na Urusi ni waislamu? Nijibu we giningi wa upareni

Wahindi na India yote dini Yao ni Uhindu na vimbwanga vingine, waislamu Wana kadiliwa kuwa 200 Milioni kati ya watu 1.3billioni yaani kifupi waislamu ni 15.38% ya watu,
Je wenyewe ni waislamu?

Nchi nyingi za Afrika zinasupoti anachofanya Mrusi, je ni nchi za kiislamu?

Mexico, Venezuela,Nicaragua, Cuba na Colombia zimejaza waislamu ndio maana wanamuunga Putin?

Central Africa Republic nayo ni Jamhuri ya kiislamu?

Kweli ukisikia baba ameuza ng'ombe mnadani ili aipeleke ng'ombe ingine shule[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] shubaamiti
 
Niliwahi kuandika humu kwamba hapa JF asilimia 90 ya wanaomuunga mkono Putin ni Waislam na nikatoa na sababu ila moderators walifuta ule uzi.

Wengi wanaamini hivyo kwamba Putin analipiza madhira ambayo muslims na nchi za kiislamu wamekuwa wakiyapata wanyaodai chanzo chake ni Marekani na washirika wake.

Putin, Yesu na dini ya Roman catholic inakashfiwa na Waislam kibao lakini hajawahi kukemea wala kulaani hadharani namna hii, Putin ameteketeza makanisa na Wakristo kibao Mariupol Ukraine licha ya Papa kumuomba asifanye hivyo.

India ambayo zaidi ya 78.9% ni Hinduism, baada ya kumtusi mtume mohammad, Putin ameibuka haraka na kulaani. Najua amefanya hivyo ili kupata sapoti ya Waislam na nchi za Kiislamu ulimwenguni.

Putin anatafuta uungwaji mkono kwa kutumia dini, anaona ametengwa na dunia.

Baada ya kasoro hizi za kidiplomasia Kati ya Urusi na India zilizoanza kujitokeza, je soko la mafuta alilokusudia kulipata india hapo badae, baada ya nchi EU kutangaza Kuachana na gesi na mafuta yake halitaathiriwa?

Ikumbukwe msuguano huu baina ya India na UEA, ulianza mapema December 2021.
_________________


Nabii Muhammad: Putin atuma ujumbe kwa India baada ya kumtusi Mtume Mohammad

Mataifa ya kiarabu yamelaani vikali matamshi yenye utata yaliyotolewa na Msemaji wa zamani wa chama tawala nchini India BJP Nupur Sharma kumuhusu Mtume Muhammad, kulingana na mitandao ya kijamii , na Rais wa Urusi Vladimir Putin pia ameelezea kutofurahishwa kwake na matamshi yenye utata kumuhusu Mtume Mohammad katika serikali ya India.

Kauli za Putin zimesambazwa sana katika mitandao ya kijamii nchini India pamoja na nchi za Kiarabu kwa kipindi cha saa 24 zilizopita baada ya Putin aliyeishauri India wakati wa mkutano wake wa mwaka na waandishi wa habari, alisema, "Matusi dhidi ya Mtume Mohammad ni ukiukaji wa uhuru wa dini na kuwakashifu Waislamu. "

Kauli za Bw Putin zimesambazwa pakubwa katika mitanda ya kijamii hususan Twitter, ambapo zimeshirikishwa zaidi ya mara 50,000 nchini India na katika Ulimwengu wa Kiarabu.

Nini alichosema awali Putin kuhusu Uislamu na Mtume Muhammad.

Kulingana na taarifa za vyombo vya habari, Rais wa Urusi Vladimir Putin, katika mkutano wake wa mwaka na waandishi wa habari Disemba 23 mwaka jana, alisema taarifa kuhusu kibonzo tata cha Charlie Hebdo nchini Ufaransa.

Alisema kuwa: "Sio sehemu ya sheri aya uhuru wa kuzungumza kwamba kila mmtu anafikiri anaweza kuelezea maoni yake vyovyote atakavyo."



"Matusi dhidi ya Mtume yanakiuka uhuru wa kuabudu na kukiuka hisia za Waislamu ," Putin alinukuliwa na Shirika la habari la Urusi TASS.
Rais Putin amesisitiza kuwa vitendo vya aina hiyo vinaweza kusababisha ulipizaji kisasi wa makundi yenye itikati kali kama vile shambulio dhidi ya ofisi za gazeti la Charlie Hebdo mjini Paris baada ya kuchapisha vibonzo vilivyodaiwa kumdhalilisha Mtume Mohammad.
Aliwataka watu wa Urusi kuheshimu tamaduni na dini za kila mmoja wao, na kuongeza kuwa nchi yake ni "tofauti sana" na tofauti na maeneo mengine ya duniani.

Milki za Kiarabu (UAE), Oman, Indonesia, Iraq, Jordan, the Maldives, Bahraine, Libya na Bahrain ni miongoni mwa nchi zilizokokatika orodha ya Mataifa ya Kiarabu ambazo zimelaani kauli iliyotolewa na Msemaji wa zamani wa chama tawala cha India.

Mapema, taarifa hiyo ililaaniwa na Kuwait, Iran na Qatar na kuwaita mabalozi wa India kuelezea hasira yao. Saudi Arabia pia ililaani taarifa hiyo Jumatatu wiki hii.

Wanadiplomasia wa India wamejaribu kutuliza hasira ya matataifa haya ya Kiarabu, kwani wana mahusiano ya kirafiki ya muda mrefu nan chi hizi - lakini juhudi zao zimeishia patupu.

Nupur Sharma,ambaye ni Msemaji rasmi wa chama tawala cha Bharatiya Janata (BJP), alitoa kauli hizo kwenye mdahalo wa televisheni, na afisa mkuu wa habari wa chama hicho Naveen Jindal, akatuma kauli hiyo kwenye mtandao wa Twitter.

Kauli hizi hususan za M Sharma - zimewaudhi hususan Waislamu ambao ni wachache nchini India, na kuibua maandamano katika maeneo mbali mbali katika baadhi ya majimbo.

Maafisa wawili walitoa taarifa ya kuomba msamaha na chama kikamsimamisha kazi kwa muda Sharmaa.

Chanzo BBC, Aljazeera, Reuters


View attachment 2254268
Kauli zipi sasa??
 
Putin lazima awajibishwe kwa njia yeyote ile hata kama akitafuta huruma ya dini. Diplomasia yake na India ikilega lega, ndo hivyo mafuta yake atayanywa. Magharibi ni hatari sana, hapa wananfitinisha na India.

Hapa Warusi watakupinga ila kuna ukweli.
Wagalatia mnauchukia uislam sana, go on Putin.
 
Sehemu kubwa ya Urusi yanakotoka mafuta ni sehemu inayokaliwa na Waislam,sehemu inayoitwa Chechnia..

Tutake,tusitake Mungu kawapa utajiri wa Raslimali ya Mafuta Waislam dunia nzima,

Mtwara,Pemba ya Tanzania,Pemba ya Msumbiji,Nigeria sehemu zenye mafuta ni sehemu wanazokaa Waislam,Bornei,Falme za Kiarabu,Oman,..nk

Hali ya kuwa kila kwenye mafuta ni sehemu ya Waislam aliiona muingereza mmoja anaitwa Green, kitu hicho kilimfanya Mr Green kuukubali Uislam

Wanajeshi wa Kirusi wenye asili ya Kichechnia,ambao ni Waislam wako bega kwa bega mstari wa mbele kwenye vita vya Ukraine..

Kwasababu hiyo Putin lazima ausimamie Uislam
 
Takataka kabisa
Hapo kwenye utatu mtakatifu chenga sana. Yahani kuna baba, mwana na roho. Alafu tunapigwa kwa kuambiwa hao wote watatu ni mtu mmoja. Ukiuliza mwana ni nani unaambiwa ni Yesu. Ukiuliza kwahiyo Yesu ndiye mingu mwenyewe? Hapo itabidi dini ichanganyike na siasa kwa stori utakazopigwa
 
India huenda pia ikasusia mafuta yake, baada ya kutaka kuwafitinisha na UEA, India kwa sasa Waislam wameanza tena maandamano na fujo, kutokana na moto aliouchochea Putin.
Mafuta ya urusi siyo hisani jomba ....india inalilia kununua mafuta ya urusi usiku na mchana na inatamani vita isiishe ...tena india ikisusia mafuta ya urussi kwa sababu hiyo ndiyo itathibitisha kuwa serikali ya india ipo nyuma ya hiyo kashifa tena kama ulikuwa ujui serikali ya india yenyewe ndiyo ilikuwa ya kwanza kulaani hayo maneno wa waziri wake hivyo urusi kaunga tu mkono ssrikali ya india
 
Ni kheri ukamtusi mungu wao allah kuliko ile njemba ambayo hata shule haikuwa nayo.
Hats off to Hindus
 
Mafuta ya urusi siyo hisani jomba ....india inalilia kununua mafuta ya urusi usiku na mchana na inatamani vita isiishe ...tena india ikisusia mafuta ya urussi kwa sababu hiyo ndiyo itathibitisha kuwa serikali ya india ipo nyuma ya hiyo kashifa tena kama ulikuwa ujui serikali ya india yenyewe ndiyo ilikuwa ya kwanza kulaani hayo maneno wa waziri wake hivyo urusi kaunga tu mkono ssrikali ya india
Ndo ashatukanwa sasa mtafanya kile qoran imewaamrisha?
Jaribuni wahindu wawatoe marinda
 
Putin kwanza piga Gaykrania hao,hayo mengine baadae
Nalog off Z
 
Niliwahi kuandika humu kwamba hapa JF asilimia 90 ya wanaomuunga mkono Putin ni Waislam na nikatoa na sababu ila moderators walifuta ule uzi.

Wengi wanaamini hivyo kwamba Putin analipiza madhira ambayo muslims na nchi za kiislamu wamekuwa wakiyapata wanyaodai chanzo chake ni Marekani na washirika wake.

Putin, Yesu na dini ya Roman catholic inakashfiwa na Waislam kibao lakini hajawahi kukemea wala kulaani hadharani namna hii, Putin ameteketeza makanisa na Wakristo kibao Mariupol Ukraine licha ya Papa kumuomba asifanye hivyo.

India ambayo zaidi ya 78.9% ni Hinduism, baada ya kumtusi mtume mohammad, Putin ameibuka haraka na kulaani. Najua amefanya hivyo ili kupata sapoti ya Waislam na nchi za Kiislamu ulimwenguni.

Putin anatafuta uungwaji mkono kwa kutumia dini, anaona ametengwa na dunia.

Baada ya kasoro hizi za kidiplomasia Kati ya Urusi na India zilizoanza kujitokeza, je soko la mafuta alilokusudia kulipata india hapo badae, baada ya nchi EU kutangaza Kuachana na gesi na mafuta yake halitaathiriwa?

Ikumbukwe msuguano huu baina ya India na UEA, ulianza mapema December 2021.
_________________


Nabii Muhammad: Putin atuma ujumbe kwa India baada ya kumtusi Mtume Mohammad

Mataifa ya kiarabu yamelaani vikali matamshi yenye utata yaliyotolewa na Msemaji wa zamani wa chama tawala nchini India BJP Nupur Sharma kumuhusu Mtume Muhammad, kulingana na mitandao ya kijamii , na Rais wa Urusi Vladimir Putin pia ameelezea kutofurahishwa kwake na matamshi yenye utata kumuhusu Mtume Mohammad katika serikali ya India.

Kauli za Putin zimesambazwa sana katika mitandao ya kijamii nchini India pamoja na nchi za Kiarabu kwa kipindi cha saa 24 zilizopita baada ya Putin aliyeishauri India wakati wa mkutano wake wa mwaka na waandishi wa habari, alisema, "Matusi dhidi ya Mtume Mohammad ni ukiukaji wa uhuru wa dini na kuwakashifu Waislamu. "

Kauli za Bw Putin zimesambazwa pakubwa katika mitanda ya kijamii hususan Twitter, ambapo zimeshirikishwa zaidi ya mara 50,000 nchini India na katika Ulimwengu wa Kiarabu.

Nini alichosema awali Putin kuhusu Uislamu na Mtume Muhammad.

Kulingana na taarifa za vyombo vya habari, Rais wa Urusi Vladimir Putin, katika mkutano wake wa mwaka na waandishi wa habari Disemba 23 mwaka jana, alisema taarifa kuhusu kibonzo tata cha Charlie Hebdo nchini Ufaransa.

Alisema kuwa: "Sio sehemu ya sheri aya uhuru wa kuzungumza kwamba kila mmtu anafikiri anaweza kuelezea maoni yake vyovyote atakavyo."



"Matusi dhidi ya Mtume yanakiuka uhuru wa kuabudu na kukiuka hisia za Waislamu ," Putin alinukuliwa na Shirika la habari la Urusi TASS.
Rais Putin amesisitiza kuwa vitendo vya aina hiyo vinaweza kusababisha ulipizaji kisasi wa makundi yenye itikati kali kama vile shambulio dhidi ya ofisi za gazeti la Charlie Hebdo mjini Paris baada ya kuchapisha vibonzo vilivyodaiwa kumdhalilisha Mtume Mohammad.
Aliwataka watu wa Urusi kuheshimu tamaduni na dini za kila mmoja wao, na kuongeza kuwa nchi yake ni "tofauti sana" na tofauti na maeneo mengine ya duniani.

Milki za Kiarabu (UAE), Oman, Indonesia, Iraq, Jordan, the Maldives, Bahraine, Libya na Bahrain ni miongoni mwa nchi zilizokokatika orodha ya Mataifa ya Kiarabu ambazo zimelaani kauli iliyotolewa na Msemaji wa zamani wa chama tawala cha India.

Mapema, taarifa hiyo ililaaniwa na Kuwait, Iran na Qatar na kuwaita mabalozi wa India kuelezea hasira yao. Saudi Arabia pia ililaani taarifa hiyo Jumatatu wiki hii.

Wanadiplomasia wa India wamejaribu kutuliza hasira ya matataifa haya ya Kiarabu, kwani wana mahusiano ya kirafiki ya muda mrefu nan chi hizi - lakini juhudi zao zimeishia patupu.

Nupur Sharma,ambaye ni Msemaji rasmi wa chama tawala cha Bharatiya Janata (BJP), alitoa kauli hizo kwenye mdahalo wa televisheni, na afisa mkuu wa habari wa chama hicho Naveen Jindal, akatuma kauli hiyo kwenye mtandao wa Twitter.

Kauli hizi hususan za M Sharma - zimewaudhi hususan Waislamu ambao ni wachache nchini India, na kuibua maandamano katika maeneo mbali mbali katika baadhi ya majimbo.

Maafisa wawili walitoa taarifa ya kuomba msamaha na chama kikamsimamisha kazi kwa muda Sharmaa.

Chanzo BBC, Aljazeera, Reuters


View attachment 2254268
Putin hajakosea.. wala hajajipendekeza kwasababu ni kweli ao waindia wamekosea.. lazima kuwe na uvumilivu wa kidini ili kujenga jamii yenye umoja.

Putin ni mkristo mzuri tuu.. kitendo cha kutetea uislam sio kwamba anajipendekeza hivyo ndivyo inatakiwa kuwa.. kama mataifa mengine hayajakemea yatakuwa yamekosea.

View attachment 2254816View attachment 2254817View attachment 2254815
images%20(4).jpg
 
Back
Top Bottom