mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Hajatengwa sana! katengwa na nchi za magharibi ambazo wananchi wake hawafiki hata theluthi ya watu waliopo duniani.Putin anajikuta mjanja sana, ameona katengwa, sasa amegeukia sympathy ya dini, na kwl ataipata ila haitamsaidia.
Hao wanachoweza ni kujilipua tu kwenye kadamnasi kama masoko hawana ujuzi wa vita vya kisasa hata wakienda huko watafanya nini maana watu wamesambaa,sanasana watapukutishwa wote na SnipersUsishangae Al shabab,Boko Haram,al queda,Hizibollah wakitangaza kwenda UKRAINE kumwunga mkono Putin!
mkuu hayo yote ni makundi ya mmarekani mbonaUsishangae Al shabab,Boko Haram,al queda,Hizibollah wakitangaza kwenda UKRAINE kumwunga mkono Putin!
wa kusoma hiyo albadir nani? hawa hawa mashekhe ubwabwa wa mchongo😁Wamsomee Al Badir fasta
Takataka kabisaPutin takataka kweli, hapo eti anatafuta uungwaji mkono kwa kutumia dini.
Bado Kuna oblast nyingi kule Urusi zenye waislamu nje ya Chechen mfano Dagestan, Ingushetia.Wapiganaji mahiri wa kichechen ni waislamu na Putin anataka apate uungwaji mkono wao!
Kauli zipi sasa??Niliwahi kuandika humu kwamba hapa JF asilimia 90 ya wanaomuunga mkono Putin ni Waislam na nikatoa na sababu ila moderators walifuta ule uzi.
Wengi wanaamini hivyo kwamba Putin analipiza madhira ambayo muslims na nchi za kiislamu wamekuwa wakiyapata wanyaodai chanzo chake ni Marekani na washirika wake.
Putin, Yesu na dini ya Roman catholic inakashfiwa na Waislam kibao lakini hajawahi kukemea wala kulaani hadharani namna hii, Putin ameteketeza makanisa na Wakristo kibao Mariupol Ukraine licha ya Papa kumuomba asifanye hivyo.
India ambayo zaidi ya 78.9% ni Hinduism, baada ya kumtusi mtume mohammad, Putin ameibuka haraka na kulaani. Najua amefanya hivyo ili kupata sapoti ya Waislam na nchi za Kiislamu ulimwenguni.
Putin anatafuta uungwaji mkono kwa kutumia dini, anaona ametengwa na dunia.
Baada ya kasoro hizi za kidiplomasia Kati ya Urusi na India zilizoanza kujitokeza, je soko la mafuta alilokusudia kulipata india hapo badae, baada ya nchi EU kutangaza Kuachana na gesi na mafuta yake halitaathiriwa?
Ikumbukwe msuguano huu baina ya India na UEA, ulianza mapema December 2021.
_________________
Nabii Muhammad: Putin atuma ujumbe kwa India baada ya kumtusi Mtume Mohammad
Mataifa ya kiarabu yamelaani vikali matamshi yenye utata yaliyotolewa na Msemaji wa zamani wa chama tawala nchini India BJP Nupur Sharma kumuhusu Mtume Muhammad, kulingana na mitandao ya kijamii , na Rais wa Urusi Vladimir Putin pia ameelezea kutofurahishwa kwake na matamshi yenye utata kumuhusu Mtume Mohammad katika serikali ya India.
Kauli za Putin zimesambazwa sana katika mitandao ya kijamii nchini India pamoja na nchi za Kiarabu kwa kipindi cha saa 24 zilizopita baada ya Putin aliyeishauri India wakati wa mkutano wake wa mwaka na waandishi wa habari, alisema, "Matusi dhidi ya Mtume Mohammad ni ukiukaji wa uhuru wa dini na kuwakashifu Waislamu. "
Kauli za Bw Putin zimesambazwa pakubwa katika mitanda ya kijamii hususan Twitter, ambapo zimeshirikishwa zaidi ya mara 50,000 nchini India na katika Ulimwengu wa Kiarabu.
Nini alichosema awali Putin kuhusu Uislamu na Mtume Muhammad.
Kulingana na taarifa za vyombo vya habari, Rais wa Urusi Vladimir Putin, katika mkutano wake wa mwaka na waandishi wa habari Disemba 23 mwaka jana, alisema taarifa kuhusu kibonzo tata cha Charlie Hebdo nchini Ufaransa.
Alisema kuwa: "Sio sehemu ya sheri aya uhuru wa kuzungumza kwamba kila mmtu anafikiri anaweza kuelezea maoni yake vyovyote atakavyo."
"Matusi dhidi ya Mtume yanakiuka uhuru wa kuabudu na kukiuka hisia za Waislamu ," Putin alinukuliwa na Shirika la habari la Urusi TASS.
Rais Putin amesisitiza kuwa vitendo vya aina hiyo vinaweza kusababisha ulipizaji kisasi wa makundi yenye itikati kali kama vile shambulio dhidi ya ofisi za gazeti la Charlie Hebdo mjini Paris baada ya kuchapisha vibonzo vilivyodaiwa kumdhalilisha Mtume Mohammad.
Aliwataka watu wa Urusi kuheshimu tamaduni na dini za kila mmoja wao, na kuongeza kuwa nchi yake ni "tofauti sana" na tofauti na maeneo mengine ya duniani.
Milki za Kiarabu (UAE), Oman, Indonesia, Iraq, Jordan, the Maldives, Bahraine, Libya na Bahrain ni miongoni mwa nchi zilizokokatika orodha ya Mataifa ya Kiarabu ambazo zimelaani kauli iliyotolewa na Msemaji wa zamani wa chama tawala cha India.
Mapema, taarifa hiyo ililaaniwa na Kuwait, Iran na Qatar na kuwaita mabalozi wa India kuelezea hasira yao. Saudi Arabia pia ililaani taarifa hiyo Jumatatu wiki hii.
Wanadiplomasia wa India wamejaribu kutuliza hasira ya matataifa haya ya Kiarabu, kwani wana mahusiano ya kirafiki ya muda mrefu nan chi hizi - lakini juhudi zao zimeishia patupu.
Nupur Sharma,ambaye ni Msemaji rasmi wa chama tawala cha Bharatiya Janata (BJP), alitoa kauli hizo kwenye mdahalo wa televisheni, na afisa mkuu wa habari wa chama hicho Naveen Jindal, akatuma kauli hiyo kwenye mtandao wa Twitter.
Kauli hizi hususan za M Sharma - zimewaudhi hususan Waislamu ambao ni wachache nchini India, na kuibua maandamano katika maeneo mbali mbali katika baadhi ya majimbo.
Maafisa wawili walitoa taarifa ya kuomba msamaha na chama kikamsimamisha kazi kwa muda Sharmaa.
Chanzo BBC, Aljazeera, Reuters
View attachment 2254268
Wagalatia mnauchukia uislam sana, go on Putin.Putin lazima awajibishwe kwa njia yeyote ile hata kama akitafuta huruma ya dini. Diplomasia yake na India ikilega lega, ndo hivyo mafuta yake atayanywa. Magharibi ni hatari sana, hapa wananfitinisha na India.
Hapa Warusi watakupinga ila kuna ukweli.
Hapo kwenye utatu mtakatifu chenga sana. Yahani kuna baba, mwana na roho. Alafu tunapigwa kwa kuambiwa hao wote watatu ni mtu mmoja. Ukiuliza mwana ni nani unaambiwa ni Yesu. Ukiuliza kwahiyo Yesu ndiye mingu mwenyewe? Hapo itabidi dini ichanganyike na siasa kwa stori utakazopigwaTakataka kabisa
Ngoja magaidi yaka chukue juvelin za marekani na kuzitumia kupiga usa pote dunianiHao lazima wajipeleke tu, kwa kufanya hivyo mzee Putin kawaweza.
Mafuta ya urusi siyo hisani jomba ....india inalilia kununua mafuta ya urusi usiku na mchana na inatamani vita isiishe ...tena india ikisusia mafuta ya urussi kwa sababu hiyo ndiyo itathibitisha kuwa serikali ya india ipo nyuma ya hiyo kashifa tena kama ulikuwa ujui serikali ya india yenyewe ndiyo ilikuwa ya kwanza kulaani hayo maneno wa waziri wake hivyo urusi kaunga tu mkono ssrikali ya indiaIndia huenda pia ikasusia mafuta yake, baada ya kutaka kuwafitinisha na UEA, India kwa sasa Waislam wameanza tena maandamano na fujo, kutokana na moto aliouchochea Putin.
Ndo ashatukanwa sasa mtafanya kile qoran imewaamrisha?Mafuta ya urusi siyo hisani jomba ....india inalilia kununua mafuta ya urusi usiku na mchana na inatamani vita isiishe ...tena india ikisusia mafuta ya urussi kwa sababu hiyo ndiyo itathibitisha kuwa serikali ya india ipo nyuma ya hiyo kashifa tena kama ulikuwa ujui serikali ya india yenyewe ndiyo ilikuwa ya kwanza kulaani hayo maneno wa waziri wake hivyo urusi kaunga tu mkono ssrikali ya india
Putin hajakosea.. wala hajajipendekeza kwasababu ni kweli ao waindia wamekosea.. lazima kuwe na uvumilivu wa kidini ili kujenga jamii yenye umoja.Niliwahi kuandika humu kwamba hapa JF asilimia 90 ya wanaomuunga mkono Putin ni Waislam na nikatoa na sababu ila moderators walifuta ule uzi.
Wengi wanaamini hivyo kwamba Putin analipiza madhira ambayo muslims na nchi za kiislamu wamekuwa wakiyapata wanyaodai chanzo chake ni Marekani na washirika wake.
Putin, Yesu na dini ya Roman catholic inakashfiwa na Waislam kibao lakini hajawahi kukemea wala kulaani hadharani namna hii, Putin ameteketeza makanisa na Wakristo kibao Mariupol Ukraine licha ya Papa kumuomba asifanye hivyo.
India ambayo zaidi ya 78.9% ni Hinduism, baada ya kumtusi mtume mohammad, Putin ameibuka haraka na kulaani. Najua amefanya hivyo ili kupata sapoti ya Waislam na nchi za Kiislamu ulimwenguni.
Putin anatafuta uungwaji mkono kwa kutumia dini, anaona ametengwa na dunia.
Baada ya kasoro hizi za kidiplomasia Kati ya Urusi na India zilizoanza kujitokeza, je soko la mafuta alilokusudia kulipata india hapo badae, baada ya nchi EU kutangaza Kuachana na gesi na mafuta yake halitaathiriwa?
Ikumbukwe msuguano huu baina ya India na UEA, ulianza mapema December 2021.
_________________
Nabii Muhammad: Putin atuma ujumbe kwa India baada ya kumtusi Mtume Mohammad
Mataifa ya kiarabu yamelaani vikali matamshi yenye utata yaliyotolewa na Msemaji wa zamani wa chama tawala nchini India BJP Nupur Sharma kumuhusu Mtume Muhammad, kulingana na mitandao ya kijamii , na Rais wa Urusi Vladimir Putin pia ameelezea kutofurahishwa kwake na matamshi yenye utata kumuhusu Mtume Mohammad katika serikali ya India.
Kauli za Putin zimesambazwa sana katika mitandao ya kijamii nchini India pamoja na nchi za Kiarabu kwa kipindi cha saa 24 zilizopita baada ya Putin aliyeishauri India wakati wa mkutano wake wa mwaka na waandishi wa habari, alisema, "Matusi dhidi ya Mtume Mohammad ni ukiukaji wa uhuru wa dini na kuwakashifu Waislamu. "
Kauli za Bw Putin zimesambazwa pakubwa katika mitanda ya kijamii hususan Twitter, ambapo zimeshirikishwa zaidi ya mara 50,000 nchini India na katika Ulimwengu wa Kiarabu.
Nini alichosema awali Putin kuhusu Uislamu na Mtume Muhammad.
Kulingana na taarifa za vyombo vya habari, Rais wa Urusi Vladimir Putin, katika mkutano wake wa mwaka na waandishi wa habari Disemba 23 mwaka jana, alisema taarifa kuhusu kibonzo tata cha Charlie Hebdo nchini Ufaransa.
Alisema kuwa: "Sio sehemu ya sheri aya uhuru wa kuzungumza kwamba kila mmtu anafikiri anaweza kuelezea maoni yake vyovyote atakavyo."
"Matusi dhidi ya Mtume yanakiuka uhuru wa kuabudu na kukiuka hisia za Waislamu ," Putin alinukuliwa na Shirika la habari la Urusi TASS.
Rais Putin amesisitiza kuwa vitendo vya aina hiyo vinaweza kusababisha ulipizaji kisasi wa makundi yenye itikati kali kama vile shambulio dhidi ya ofisi za gazeti la Charlie Hebdo mjini Paris baada ya kuchapisha vibonzo vilivyodaiwa kumdhalilisha Mtume Mohammad.
Aliwataka watu wa Urusi kuheshimu tamaduni na dini za kila mmoja wao, na kuongeza kuwa nchi yake ni "tofauti sana" na tofauti na maeneo mengine ya duniani.
Milki za Kiarabu (UAE), Oman, Indonesia, Iraq, Jordan, the Maldives, Bahraine, Libya na Bahrain ni miongoni mwa nchi zilizokokatika orodha ya Mataifa ya Kiarabu ambazo zimelaani kauli iliyotolewa na Msemaji wa zamani wa chama tawala cha India.
Mapema, taarifa hiyo ililaaniwa na Kuwait, Iran na Qatar na kuwaita mabalozi wa India kuelezea hasira yao. Saudi Arabia pia ililaani taarifa hiyo Jumatatu wiki hii.
Wanadiplomasia wa India wamejaribu kutuliza hasira ya matataifa haya ya Kiarabu, kwani wana mahusiano ya kirafiki ya muda mrefu nan chi hizi - lakini juhudi zao zimeishia patupu.
Nupur Sharma,ambaye ni Msemaji rasmi wa chama tawala cha Bharatiya Janata (BJP), alitoa kauli hizo kwenye mdahalo wa televisheni, na afisa mkuu wa habari wa chama hicho Naveen Jindal, akatuma kauli hiyo kwenye mtandao wa Twitter.
Kauli hizi hususan za M Sharma - zimewaudhi hususan Waislamu ambao ni wachache nchini India, na kuibua maandamano katika maeneo mbali mbali katika baadhi ya majimbo.
Maafisa wawili walitoa taarifa ya kuomba msamaha na chama kikamsimamisha kazi kwa muda Sharmaa.
Chanzo BBC, Aljazeera, Reuters
View attachment 2254268