Putin awafuta kazi Majenerali watano, kachanganyikiwa

Kitu pekee ninachokipenda kwa vita hii, ni hawa Caucasians wafahamu hata Afrika tuna migogoro kwa sababu ya real issues: nyingi wamezianzisha wao. Na si kwa sababu ya upumbavu au ukatili (unyama) wetu. Walikuwa wanatutazama kama wenye matatizo ya akili, hatuwezi kuishi pamoja. Hellooooo!
 
sijao taifa la west liingize pua huko ukraine wamejaribu kutuma silaha zao nzito lakin hamna kitu wameiwekea urusi vikwazo lakin vimedunda kilichobaki wapeleke matako tu

Yaan silaha nzito zinageuzwa chuma chakavu
 
Wamerisishwa
Tangu zelensky akiri kuwa asilimia 20 ya ukraine imeshachukuliwa na urusi basi pro ukraine wangi wamekuwa wakitapa tapa kama huyu mtoa post

Kuna uwezeka pro ukreine weng wameathirika kisaikolojia
Wamerisishwa tabia za west media
 
Mbona Pro Putin mnakuwa wakali sana
Teh teh teh.πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†...hawakawii kukutukana ,matusi yamewajaa kuanzia vinywani mpaka kwenye bongo zao.
 
PUTIN anazidi kuwakandamiza tu,,,, Muda utaongea...

Hii kutapatapa na Propaganda haitawasaidia lolote
 
 

Attachments

  • Screenshot_20220610-142654_Facebook.jpg
    150.2 KB · Views: 12
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…