Putin hana budi kuchochea vita ili anusurike

Dw siwaamini sana,mtu ambaye anataka kuunganisha maeneo yaliyotekwa kuwa aridhi ya urus kwa kupiga kura ya maoni unasema ameshindwa vita,hata wakati anaichukua marioupaul tuliambiwa hawez anapigwa sna wakawa wanapost vifaa vilivyoharibiwa kanakwamba anapigika sana,lakin mwisho wa siku mkweli amejulikana
 
Una akili za kitoto sana, zile za ubabe na ubazazi wa enzi za shule ya msingi. Geopolitics sio rahisi kama hilo povu unalotoa hapa.
 
Mkomunisti usizidiwe na mahaba kwa CCP, huo ndio UkweRiii, umezagaa kwenye vyombo vyote huru vya habari duniani.
Kuhusu Turkey, China na India Dw imeandika kichekesho[emoji38] na huo uchambuzi wote umeonekana wa hovyo.
 
Usisijie habari ya vita,acha kabisa ukienda front ndo utajua vita ni nini.mpaka sasa unaweza ukakuta UKRAINE kapoteza mara 10 ya wanajeshi wa URUSI.maana mizinga tu aliyoitupa URUSI ndani ya ardhi ya UKRAINE ni za maelfu ya tani.

Hii vita unaona kama kuna ushindani ni kwa sababu ni vita kati ya URUSI VS (MAREKANI+NATO+UKRAINE).

UKRAINE imepoteza zaidi unavyojua wewe ila ndo iyo wakubwa wameamua kutuingiza kwenye mgogoro mwingine mkubwa.Hii vita ishakuwa ya pande mbili na pasipo kukaa mezani basi tutafika tu kwenye nuclear maana hakutakuwa na namna.URUSI awezi kukubali kushindwa na MAREKANI NA NATO
 
Na marekani na NATO pia hawawezi kukubalia na wenyewe
 
Haha wenye.mafunzo kamili sio wafungwa tena?? Mbona jamaa zenu wanalia mrusi kutumia wafungwa na majeshi ya kukodi
.....taarifa zenu wenyewe mnajipiga OG
Hapa kazungumzia wale paratroopers waliofyekwa kule Kyiv
 
Labda mori za kimasai.....jimbo lipi limerudi zaidi ya hivyo vijiji mrusi alivyoona hana haja ya kupigania sana,,,rudisheni hicho kipande kinachomegwa
Muda bado sana.., kwani urusi aliteka hizo sehemu kwa siku Moja,
 
Mkomunisti usizidiwe na mahaba kwa CCP, huo ndio UkweRiii, umezagaa kwenye vyombo vyote huru vya habari duniani.View attachment 2364482View attachment 2364483
Naomba unioneshe hotuba Xi Jinping akimwambia Putin aache kupigana Ukraine?

Note: China toka awali february ili pendekeza njia ya diplomacy [ mazungumzo ] kumaliza huu mgogoro ila sio hicho inacho fanya west kupeleka silaha Ukraine,hii toka mwanzo kabisa wa OP na msimamo wa China hauja badilika mpaka sasa umebaki kuwa huhu.
 
Kura ya maoni na woga tu wa fashisti Putin baada ya kuona kichapo kinazidi kuwa kikali
Lakini Hilo halitayarudisha nyuma majeshi ya Ukraine..,ndio maana wao wanazidi ku-advance
 
Sawa yote hayo yalishaonekana kuwa ipo siku vita vya nuclear vitatokea wala haiwezi kuepukika.

Medvedev kasema kuwa silaha yoyote ile hata kama ni nuclear itatumika kwenye kulinda ardhi ya WARUSI ndani na UKRAINE.

Kama UKRAINE akiamua kukaza basi Nuclear aina budi kutumika kwenye hii vita
Na marekani na NATO pia hawawezi kukubalia na wenyewe
 
Hapa kazungumzia wale paratroopers waliofyekwa kule Kyiv
Wale mliosema mmeua wanajeshi elf 50 na kwamba hadi mwezi wa3 hapo mrusi atakua kaishiwa wanajeshi na vifaa na pia vikwazo vitamvuruga sana??
 
Una akili za kitoto sana, zile za ubabe na ubazazi wa enzi za shule ya msingi. Geopolitics sio rahisi kama hilo povu unalotoa hapa.
Kuweka picha ya Einstein kwenye avatar unadhani ndio akili? Wewe uliyesoma PHD una nini cha kunizidi? Kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…