Putin kaishiwa? Ripoti zinasema Russia yatumia wanajeshi wa North Korea kupigana vita ya Ukraine!

Putin kaishiwa? Ripoti zinasema Russia yatumia wanajeshi wa North Korea kupigana vita ya Ukraine!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Waziri wa ulinzi wa Korea Kusini, Kim Yong-hyun, amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa kwamba wanajeshi sita wa Korea Kaskazini waliuawa katika shambulizi la makombora nchini Ukraine karibu na Donetsk mnamo tarehe 3 Oktoba.

Hii inakuja wakati ambapo mahusiano kati ya Pyongyang na Moscow yanazidi kuimarika. Korea Kaskazini imekanusha tuhuma za kusambaza silaha kwa vikosi vya Urusi vinavyopigana katika uvamizi wa Ukraine.

kim 1.png

Kim alisema, "Tunaamini kuwa kuna uwezekano wa kuwa na majeruhi miongoni mwa maafisa na wanajeshi wa Korea Kaskazini nchini Ukraine, kutokana na sababu mbalimbali," na kuongeza kuwa Seoul inatarajia Pyongyang itatuma zaidi ya wanajeshi kusaidia juhudi za vita za Urusi.

Souce: Aljazeera
 
Tushayazoea haya,, sasa bora kwa sasa mnasema wanatumia wanajeshi wa North Korea,, huko nyuma tuliambiwa wanatumia makoleo kama silaha. Lkn makoleo hayo hayo ndio yaliyotembeza kichapo kwa nchi zaidi ya thelathini, jidanganyeni
 
Waziri wa ulinzi wa Korea Kusini, Kim Yong-hyun, amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa kwamba wanajeshi sita wa Korea Kaskazini waliuawa katika shambulizi la makombora nchini Ukraine karibu na Donetsk mnamo tarehe 3 Oktoba.

Hii inakuja wakati ambapo mahusiano kati ya Pyongyang na Moscow yanazidi kuimarika. Korea Kaskazini imekanusha tuhuma za kusambaza silaha kwa vikosi vya Urusi vinavyopigana katika uvamizi wa Ukraine.


Kim alisema, "Tunaamini kuwa kuna uwezekano wa kuwa na majeruhi miongoni mwa maafisa na wanajeshi wa Korea Kaskazini nchini Ukraine, kutokana na sababu mbalimbali," na kuongeza kuwa Seoul inatarajia Pyongyang itatuma zaidi ya wanajeshi kusaidia juhudi za vita za Urusi.

Souce: Aljazeera
Claims about North Korean soldiers ‘a hoax’ – Kremlin

Seoul had previously warned that Pyongyang could send its regular military to Ukraine to fight for Moscow
Claims about North Korean soldiers ‘a hoax’ – Kremlin
FILE PHOTO. North Korean soldiers during military parade in Pyongyang © Ilya Pitalev; RIA Novosti
Reports that North Korean military personnel are fighting alongside Russian forces in the Ukraine conflict are untrue, Kremlin spokesman Dmitry Peskov told journalists on Thursday.

South Korean Defense Minister Kim Yong-hyun claimed during a parliamentary session earlier this week that Pyongyang could send its forces to fight for Russia after it signed a mutual security treaty with Moscow. He claimed such a deployment is “highly likely” and suggested that some North Korean soldiers may have already been killed in the Ukraine conflict.

“This looks like another hoax,” Peskov replied when asked to comment on Seoul’s allegations during a press briefing.

Source RT
 
Russia forces wanaendelea kuteka maeneo na vijiji kwa kasi ya ajabu mashariki ya Donetisky! Zelensky ameshakiri kuwa hali kwenye frontlines zote ni ngumu kwa majeshi ya Ukraine! Wanakimbia wengine wanatekwa,wameacha silaha zilizotolewa na NATO.
Soon Donbass inaenda kuwa totally liberated na vikosi vya Russia.
 
Ex-US Marine sentenced for fighting as mercenary for Ukraine

Trevor Reed traveled to the country after being released by Moscow in a 2022 prisoner swap with Washington
Former US Marine Trevor Reed has been sentenced in absentia by a Moscow court for fighting as a mercenary for Kiev, Russia’s Investigative Committee has announced. Prior to traveling to Ukraine, Reed had been released from a Russian jail in 2022 in a prisoner exchange with the US.
 
Halafu huyu ndie apigane na USA NATO? Mwenzie Israel anapigana na Nchi karibu 4 kwa wakati mmoja
Israel inategemea misaada ya kijeshi toka US,UK,France nk
Marekani imeweka manowari zake za kivita pale Mediterenian zinatoa msaada wa inteligensia kwa Israel.
Russia anapigana na US na nchi za NATO pale Ukraine! Unasemaje hapo?
 
Halafu huyu ndie apigane na USA NATO? Mwenzie Israel anapigana na Nchi karibu 4 kwa wakati mmoja
Israel inapigana na vikundi vya wanamgambo Hamas,hizbollah na Houthi ambao wana silaha limited.
Russia anapigana na Ukraine yenye full millitary capability ikisaidiwa na NATO+EU imewekewa hadi vikwazo vya kiuchumi ili ishindwe vita.

Wakati huo Israel inasaidiwa na USA,UK na France kupambana na vikundi vya washika silaha.
Shika adabu yako usiifananishe Russia THE GIANT FUSA na Israel kanchi kanacholelewa.

Israel yako ishapoteza askari wengi na kupata askari elfu sabini walemavu wa kudumu na raia zaidi ya laki tano wamehama nchi na haijulikani kama watarudi kwa kuhofia usalama wao.

Na hapo anapigana na wanamgambo,je angepigana na jeshi kamili kama Iran ingekuaje!?
 
Wanajeshi wangapi wamekufa nchini Ukraine wanaotokea nchi za NATO?
kumbuka wapo wanajeshi wastaafu ambao binafsi walijitolea kupigana upande wa Ukraine kutoka US na nchi zingine mbali mbali, lakini wewe ukisikia marekani ameuliwa Ukraine mnatuletea habari za NATO. Hakuna mwanajeshi wa NATO aliyevitani Ukraine na kama walienda basi ni kwa ajili ya kuongeza mafunzo kutoka kwa jeshi mahiri duniani la Ukraine
 
Mburukenge wewe.
Israel inapigana na vikundi vya wanamgambo Hamas,hizbollah na Houthi ambao wana silaha limited.
Russia anapigana na Ukraine yenye full millitary capability ikisaidiwa na NATO+EU imewekewa hadi vikwazo vya kiuchumi ili ishindwe vita.
Wakati huo Israel inasaidiwa na USA,UK na France kupambana na vikundi vya washika silaha.
Shika adabu yako usiifananishe Russia THE GIANT FUSA na Israel kanchi kanacholelewa.
Israel yako ishapoteza askari wengi na kupata askari elfu sabini walemavu wa kudumu na raia zaidi ya laki tano wamehama nchi na haijulikani kama watarudi kwa kuhofia usalama wao.
Na hapo anapigana na wanamgambo,je angepigana na jeshi kamili kama Iran ingekuaje!??
Aya peleka simu kwa dadaako uende ukasome.
Muue 😁😁😁
 
kumbuka wapo wanajeshi wastaafu ambao binafsi walijitolea kupigana upande wa Ukraine kutoka US na nchi zingine mbali mbali, lakini wewe ukisikia marekani ameuliwa Ukraine mnatuletea habari za NATO. Hakuna mwanajeshi wa NATO aliyevitani Ukraine na kama walienda basi ni kwa ajili ya kuongeza mafunzo kutoka kwa jeshi mahiri duniani la Ukraine
Unajua kusoma kwa ufahamu?
Mara hakuna wanajeshi na hapo hapo unamashaka unasema kama walienda kitendo cha kwenda tu tayari kashiriki.

Kwani pia US sio nchi ya NATO?
 
Waziri wa ulinzi wa Korea Kusini, Kim Yong-hyun, amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa kwamba wanajeshi sita wa Korea Kaskazini waliuawa katika shambulizi la makombora nchini Ukraine karibu na Donetsk mnamo tarehe 3 Oktoba.

Hii inakuja wakati ambapo mahusiano kati ya Pyongyang na Moscow yanazidi kuimarika. Korea Kaskazini imekanusha tuhuma za kusambaza silaha kwa vikosi vya Urusi vinavyopigana katika uvamizi wa Ukraine.


Kim alisema, "Tunaamini kuwa kuna uwezekano wa kuwa na majeruhi miongoni mwa maafisa na wanajeshi wa Korea Kaskazini nchini Ukraine, kutokana na sababu mbalimbali," na kuongeza kuwa Seoul inatarajia Pyongyang itatuma zaidi ya wanajeshi kusaidia juhudi za vita za Urusi.

Souce: Aljazeera
Wanajeshi wa nchi mbalimbali wapo ila wengine wanakwenda kujifunza sayansi ya vita ...hata wa china wapo pia ila wachache
 
Waziri wa ulinzi wa Korea Kusini, Kim Yong-hyun, amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa kwamba wanajeshi sita wa Korea Kaskazini waliuawa katika shambulizi la makombora nchini Ukraine karibu na Donetsk mnamo tarehe 3 Oktoba.

Hii inakuja wakati ambapo mahusiano kati ya Pyongyang na Moscow yanazidi kuimarika. Korea Kaskazini imekanusha tuhuma za kusambaza silaha kwa vikosi vya Urusi vinavyopigana katika uvamizi wa Ukraine.


Kim alisema, "Tunaamini kuwa kuna uwezekano wa kuwa na majeruhi miongoni mwa maafisa na wanajeshi wa Korea Kaskazini nchini Ukraine, kutokana na sababu mbalimbali," na kuongeza kuwa Seoul inatarajia Pyongyang itatuma zaidi ya wanajeshi kusaidia juhudi za vita za Urusi.

Souce: Aljazeera
Achana nao US lini alipigana vita bila kusaidiwa, nipe vita US alipigana peke yake 😄
 
Mburukenge wewe.
Israel inapigana na vikundi vya wanamgambo Hamas,hizbollah na Houthi ambao wana silaha limited.
Russia anapigana na Ukraine yenye full millitary capability ikisaidiwa na NATO+EU imewekewa hadi vikwazo vya kiuchumi ili ishindwe vita.
Wakati huo Israel inasaidiwa na USA,UK na France kupambana na vikundi vya washika silaha.
Shika adabu yako usiifananishe Russia THE GIANT FUSA na Israel kanchi kanacholelewa.
Israel yako ishapoteza askari wengi na kupata askari elfu sabini walemavu wa kudumu na raia zaidi ya laki tano wamehama nchi na haijulikani kama watarudi kwa kuhofia usalama wao.
Na hapo anapigana na wanamgambo,je angepigana na jeshi kamili kama Iran ingekuaje!??
Aya peleka simu kwa dadaako uende ukasome.
Hizi stories huwa tunadanganyana wakati wa kucheza bao. Ila sasa tunaanza kuzileta hadi huku?daaah sheikh wangu huku wapo wenye akili watakucheka.
 
Back
Top Bottom