Putin na Kim Jong Un Leo watakuwa na mazungumzo (Fuatilia live updates) hapa

Siyo marekani tu sema dunia nzima,

Hao wawili wanaweza kuanzisha vita ya nyuklia na dunia ikasimama siyo muda wa kushabikia uvamizi huu....
Na Malawi je?

Naye sio haba ujue
 
Basi mtakuwa mnajadili wewe na mamaako tu mliosomea lugha za kuwajadili JAMBAZI put-in na kinyago KICHAA kim jo.
Humpati mtu wa kumlazimisha awe sawa na mawazo yako ya king'ombe hayo
Mama yako ninae huku.
 
Siyo marekani tu sema dunia nzima,

Hao wawili wanaweza kuanzisha vita ya nyuklia na dunia ikasimama siyo muda wa kushabikia uvamizi huu....
Nyi vita mnadhani ni kama mpira wa Simba na Yanga...vita si hiyo ya Crimea unataka vita gani ingine utuonyeshe mazee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…