Na Malawi je?Siyo marekani tu sema dunia nzima,
Hao wawili wanaweza kuanzisha vita ya nyuklia na dunia ikasimama siyo muda wa kushabikia uvamizi huu....
Malawi kamvamia nani, au alifanya majaribio ya makombola lini hiyo na kwenda wapi?Na Malawi je?
Naye sio haba ujue
Mama yako ninae huku.Basi mtakuwa mnajadili wewe na mamaako tu mliosomea lugha za kuwajadili JAMBAZI put-in na kinyago KICHAA kim jo.
Humpati mtu wa kumlazimisha awe sawa na mawazo yako ya king'ombe hayo
Duh!Mama yako ninae huku.
Kiduku leo katinga suti na tai 😅
Nyi vita mnadhani ni kama mpira wa Simba na Yanga...vita si hiyo ya Crimea unataka vita gani ingine utuonyeshe mazee...Siyo marekani tu sema dunia nzima,
Hao wawili wanaweza kuanzisha vita ya nyuklia na dunia ikasimama siyo muda wa kushabikia uvamizi huu....