Putin sio tu ni tishio kwa usalama wa nchi za Ulaya na Marekani, bail sasa ni tishio kwa uchumi wa hizi nchi, hivyo ikibidi wataungana kumuondoa

Putin sio tu ni tishio kwa usalama wa nchi za Ulaya na Marekani, bail sasa ni tishio kwa uchumi wa hizi nchi, hivyo ikibidi wataungana kumuondoa

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Mwanzoni Putin alionekana ni tishio zaidi kwa usalama wa nchi za Magharibi na Marekani, ila sasa anaonekana ni tishio pia kwa ustawi wa maisha ya watu katika mataifa haya(kiuchumi na kijamii) kupitia swala la gesi na hili halitomuacha salama.

Hili swala la gesi linaongeza sababu za mataifa haya kumuona Putin ni tishio kwa ustwai wa watu wao na pia kwa ustawi wa kiuchumi katika mataifa haya, hivyo lazima watafute namna ya kumshughulikia na ikibidi kumuondoa madarakani.

Unapoona Marekani kajiingiza mahal kijeshia au vinginevyo, basi ujue hapo kuna masilahi ya kiuchumi au sababu za kiusalama na hizi ndio sababu za Marekani kujiingiza katika mataifa ya Kiarabu na ikibidi hata kupigana vita waweke watawala ambao watakuwa vibaraka wao.

Kwa msingi huo, Putin kwa sasa lazima aondolewe kwa kutengenezewa fitina za kisiasa nchi mwake au kugombanishwa na wananchi wake kwa uchumi wa nchi yake kuvurugwa kupitia vikwazo, n.k.

Akiendelea kuwa kiburi huku akiendelea kutishia usalama na ustawi wa watu katika nchi hizi, basi atatafutiwa sababu kama zile za Saddam Hussein kuhalalisha uvamizi wa NATO na Marekani kumuondoa madarakani kwa gharama yoyote.

Kwa sasa mataifa haya yanaweza kuwa na mipango ya siri kumkabili Putin katika vita ya nyuklia ili kupunguza au kuondoa kabisa uwezekano wa Russia kutumia nyuklia au hata akizitumia, madhara yasiwe makubwa (wanawwza kumuwahi na kumvuruga kabisa au vinginevyo).

Wacha tusubiri.
 
Umbali anaokaa Putin kwenye vikao😁😁😁

Kule mwanzo ni wenzake katika kikao hicho.
AICVEd.jpg
 
Mwanzoni Putin alionekana ni tishio zaidi kwa usalama wa nchi za Magharibi na Marekani, ila sasa anaonekana ni tishio pia kwa ustawi wa maisha ya watu katika mataifa haya(kiuchumi na kijamii) kupitia swala la gesi na hili halitomuacha salama.

Hili swala la gesi linaongeza sababu za mataifa haya kumuona Putin ni tishio kwa ustwai wa watu wao na pia kwa ustawi wa kiuchumi katika mataifa haya, hivyo lazima watafute namna ya kumshughulikia na ikibidi kumuondoa madarakani.

Unapoona Marekani kajiingiza mahal kijeshia au vinginevyo, basi ujue hapo kuna masilahi ya kiuchumi au sababu za kiusalama na hizi ndio sababu za Marekani kujiingiza katika mataifa ya Kiarabu na ikibidi hata kupigana vita waweke watawala ambao watakuwa vibaraka wao.

Kwa msingi huo, Putin kwa sasa lazima aondolewe kwa kutengenezewa fitina za kisiasa nchi mwake au kugombanishwa na wananchi wake kwa uchumi wa nchi yake kuvurugwa kupitia vikwazo, n.k.

Akiendelea kuwa kiburi huku akiendelea kutishia usalama na ustawi wa watu katika nchi hizi, basi atatafutiwa sababu kama zile za Saddam Hussein kuhalalisha uvamizi wa NATO na Marekani kumuondoa madarakani kwa gharama yoyote.

Kwa sasa mataifa haya yanaweza kuwa na mipango ya siri kumkabili Putin katika vita ya nyuklia ili kupunguza au kuondoa kabisa uwezekano wa Russia kutumia nyuklia au hata akizitumia, madhara yasiwe makubwa (wanawwza kumuwahi na kumvuruga kabisa au vinginevyo).

Wacha tusubiri.
Tanzania yangu , kila mtu ni mchambuzi
 
Akitoka Putin atakuja nani (au unadhani there is love lost between Russia na hao wengine) ?, Kwamba Putin akiondoka basi all is well ?, Kitakachotokea ni Walafi labda kuifilisi nchi kama wakati wa Boris Yeltsin watu walivyojichotea Pesa na kuigawana nchi (All in all Putin picked up the pieces na angalau Russia ipo hapa sasa hivi, ingekuwa Worse)....

Kumbuka tishio la uchumi sio Putin pekee bali muunganiko wa Russia na nchi nyingine ikiwemo China (hapo anayepoteza ni America as a Single Superpower) kunakuwa na Balance of Power... Na hii itatokea and America knows kwamba huenda wakati yeye anajikongoja China anapiga hatua

Alafu tunaongelea NATO na USA (NATO si ndio hao hao USA) na NATO ilianzishwa specifically sababu ya kumuogopa / Counter Military Strength ya USSR ?

Kwahio utaona hapo kwamba NATO ni USA na Puppets wake....
 
Usicheze na NATO au umoja wa mataifa yaliyomtangaza yesu duniani.yakikutenga mataifa haya basi utaishi kwa folleni ya kununua kila kitu mpaka toilet papers! Siku si chache utasikia huko Urusi kambale mboga ya anasa Pombo (bamia)kitoweo cha sherehe za harusi! Dagaa zinaliwa nyumbani mpaka zinaitwa vihome boys!
 
Mwanzoni Putin alionekana ni tishio zaidi kwa usalama wa nchi za Magharibi na Marekani, ila sasa anaonekana ni tishio pia kwa ustawi wa maisha ya watu katika mataifa haya(kiuchumi na kijamii) kupitia swala la gesi na hili halitomuacha salama.

Hili swala la gesi linaongeza sababu za mataifa haya kumuona Putin ni tishio kwa ustwai wa watu wao na pia kwa ustawi wa kiuchumi katika mataifa haya, hivyo lazima watafute namna ya kumshughulikia na ikibidi kumuondoa madarakani.

Unapoona Marekani kajiingiza mahal kijeshia au vinginevyo, basi ujue hapo kuna masilahi ya kiuchumi au sababu za kiusalama na hizi ndio sababu za Marekani kujiingiza katika mataifa ya Kiarabu na ikibidi hata kupigana vita waweke watawala ambao watakuwa vibaraka wao.

Kwa msingi huo, Putin kwa sasa lazima aondolewe kwa kutengenezewa fitina za kisiasa nchi mwake au kugombanishwa na wananchi wake kwa uchumi wa nchi yake kuvurugwa kupitia vikwazo, n.k.

Akiendelea kuwa kiburi huku akiendelea kutishia usalama na ustawi wa watu katika nchi hizi, basi atatafutiwa sababu kama zile za Saddam Hussein kuhalalisha uvamizi wa NATO na Marekani kumuondoa madarakani kwa gharama yoy ote.

Kwa sasa mataifa haya yanaweza kuwa na mipango ya siri kumkabili Putin katika vita ya nyuklia ili kupunguza au kuondoa kabisa uwezekano wa Russia kutumia nyuklia au hata akizitumia, madhara yasiwe makubwa (wanawwza kumuwahi na kumvuruga kabisa au vinginevyo).

Wacha tusubiri.
Sikiliza hapa chini hizi video clips then utajua Urusi siyo ya mchezo mchezo






 
Mwanzoni Putin alionekana ni tishio zaidi kwa usalama wa nchi za Magharibi na Marekani, ila sasa anaonekana ni tishio pia kwa ustawi wa maisha ya watu katika mataifa haya(kiuchumi na kijamii) kupitia swala la gesi na hili halitomuacha salama.

Hili swala la gesi linaongeza sababu za mataifa haya kumuona Putin ni tishio kwa ustwai wa watu wao na pia kwa ustawi wa kiuchumi katika mataifa haya, hivyo lazima watafute namna ya kumshughulikia na ikibidi kumuondoa madarakani.

Unapoona Marekani kajiingiza mahal kijeshia au vinginevyo, basi ujue hapo kuna masilahi ya kiuchumi au sababu za kiusalama na hizi ndio sababu za Marekani kujiingiza katika mataifa ya Kiarabu na ikibidi hata kupigana vita waweke watawala ambao watakuwa vibaraka wao.

Kwa msingi huo, Putin kwa sasa lazima aondolewe kwa kutengenezewa fitina za kisiasa nchi mwake au kugombanishwa na wananchi wake kwa uchumi wa nchi yake kuvurugwa kupitia vikwazo, n.k.

Akiendelea kuwa kiburi huku akiendelea kutishia usalama na ustawi wa watu katika nchi hizi, basi atatafutiwa sababu kama zile za Saddam Hussein kuhalalisha uvamizi wa NATO na Marekani kumuondoa madarakani kwa gharama yoyote.

Kwa sasa mataifa haya yanaweza kuwa na mipango ya siri kumkabili Putin katika vita ya nyuklia ili kupunguza au kuondoa kabisa uwezekano wa Russia kutumia nyuklia au hata akizitumia, madhara yasiwe makubwa (wanawwza kumuwahi na kumvuruga kabisa au vinginevyo).

Wacha tusubiri.
Kabla hawajamuondoa Putin madarakani watakua wameondolewa wao na wananchi wao kutokana na gharama za maisha kuoanda na kuwa ngumu. Uwezo wa kumpiga hawana mana watapasuana na hakutakua na ligi za Ulaya tena, mana viwanja vitakua mashimo, sisi tunahimia China kuangalia ligi yao. Wakimbizi wakija huku tunawapeleka Nyarugusu uko
 
Humjui Putin na huijui Russia.

Ukuwaji wetu tangu utotoni au kwa miaka mingi hata kwa takribani 30 habari tunazozisikia ni vya upande wa magharibi. Ni jambo zuri imetufanya kuijua nguvu yao.

Ila vipi kwa upande wa Russia unajua nini kuhusu wao ukitoa zaidi kuwa ni nchi ya kikomyunisti/kijamaa, haifuati demokrasia, uchumi wao unazidiwa na jimbo moja la US, watawala wao madikteta...

Zaidi ya hapo kuna chochote unachokijua kuhusu Russia? Jawabu ni hakuna!

Hii inawajenga watu kuona Russia ni wajinga mno na ni dhaifu hata kwenye nyanja za kiusalama wa Taifa lao kuliko wa-Magharibi ni werevu mno na wenye mbinu zisizoshindikana. Wanapolitaka jambo liwe linakuwa!

Bado hujaijua Russia. Ikiwa kama una lengo la kujua uhakika wa mambo ya Russia tenga muda wa kuwajua wao, kuliko kutenga muda wa kuwasikia wanaowaponda wao watawasemea nini!

Hiyo mbinu unayoizungumzia wewe kwa kuona itamgombanisha Putin na raia wake hiyo ndiyo inayowafanya Putin na wananchi wengi kumkubali na kuungana naye.

Russia ni Taifa kongwe! Russia ni Taifa lenye miaka takribani 500. Nchi yao imebeba historia kubwa! Hivyo wanajua wapi watalinda Taifa lao na wapi hawatolinda Taifa lao. Mengi wameyapitia.

Hivyo ukicheza na hizo mbinu unazozielezea Warusi watakutafsiri unataka kuliangamiza Taifa lao na wala si mtu mmoja. Kwa nini? Kwa sababu Russia wanahistoria Taifa lao ni kubwa lenye kujitawala hivyo halihitaji kuingiliwa mambo yake ya ndani kwa kuambiwa au kuelekezwa nini cha kufanya.

Hii ndiyo akili ya Warusi jinsi ilivyo!
 
Humjui Putin na huijui Russia.

Ukuwaji wetu tangu utotoni au kwa miaka mingi hata kwa takribani 30 habari tunazozisikia ni vya upande wa magharibi. Ni jambo zuri imetufanya kuijua nguvu yao.

Ili vipi kwa upande wa Russia unajua nini kuhusu wao ukitoa zaidi kuwa ni nchi ya kikomyunisti/kijamaa, haifuati demokrasia, uchumi wao unazidiwa na jimbo moja la US, watawala wao madikteta...

Zaidi ya hapo kuna chochote unachokijua kuhusu Russia? Jawabu ni hakuna!

Hii inawajenga watu kuona Russia ni wajinga mno na ni dhaifu hata kwenye nyanja za kiusalama wa Taifa lao kuliko wa-Magharibi ni werevu mno na wenye mbinu zisizoshindikana. Wanapolitaka jambo liwe linakuwa!

Bado hujaijua Russia. Ikiwa kama una lengo la kujua uhakika wa mambo ya Russia tenga muda wa kuwajua wao, kuliko kutenga muda wa kuwasikia wanaowaponda wao watawasemea nini!

Hiyo mbinu unayoizungumzia wewe kwa kuona itamgombanisha Putin na raia wake hiyo ndiyo inyowafanya Putin na wananchi wengi kumkubali na kuungana naye.

Russia ni Taifa kongwe! Russia ni Taifa lenye miaka takribani 500. Nchi yao imebeba historia kubwa! Hivyo wanajua wapi watalinda Taifa lao na wapi hawatolinda Taifa lao. Mengi wameyapitia. Hivyo ukicheza na hizo mbinu unazozicheza Warusi watakutafsiri unataka kuliangamiza Taifa lao na wala si mtu mmoja. Kwa nini? Kwa sababu Russia wanahistoria Taifa lao ni kubwa lenye kujitawala hivyo halihitaji kuingiliwa mambo yake ya ndani kwa kuambiwa au kuelekezwa nini cha kufanya.

Hii ndiyo akili ya Warusi jinsi ilivyo!
Uko sahihi utakuta mtu ana sema Russia kashindwa wakati lengo kuu ni kutokuwa na mpaka na ukraine na kafanikiwa
 
Usicheze na NATO au umoja wa mataifa yaliyomtangaza yesu duniani.yakikutenga mataifa haya basi utaishi kwa folleni ya kununua kila kitu mpaka toilet papers! Siku si chache utasikia huko Urusi kambale mboga ya anasa Pombo (bamia)kitoweo cha sherehe za harusi! Dagaa zinaliwa nyumbani mpaka zinaitwa vihome boys!
Urusi sio Zimbabwe
 
Back
Top Bottom