Putin: Tutaifungulia gesi kwenda Ulaya 'kesho'

Hiyo gesi ainywe kama uji sasa ,kibwengo huyo
 

Kwamba wanachagua bidhaa za kuziwekea vikwazo? [emoji23][emoji23]


Kama ni wanaume si waweke vikwazo kwa bidhaa zote? Kwa nini wana-exempt bidhaa zinazowa-favor ?

Jamaa kawakamata penyewe. Ni kwamba turbine ikija tu Moscow kesho yake anafungulia gas. Shida ipo hapo kwenye hiyo turbine kupokelewa Moscow.

sharti ni moja tu nunua gas kwa ruble ama ondoa vikwazo vyote. [emoji23][emoji23][emoji23]
 

Mbona Putin kajieleza vizuri sana, kwani tatizo liko wapi?? Wenye shida ya nishati ni EU yenyewe - na wasipo kuwa makini na wakiendeleza dharau zao na majivuno yao, basi, come December/Winter watakula jeuri yao labda watumie kuni au mkaa wa mawe ili waweze kumudu baridi kali.
 
Vikwazo haviondolewi ndio maana Urusi kaanza kulegea toka kwenye hafungui gas mpk aondolewe vikwazo mpaka Kwa turbine ikifika Leo kesho tunafungulia gas[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]. Jamaa kaona Ulaya hawambembelezi washaanza kujiandaa kuingia winter bila gas ya Urusi German inaagiza coal ya kutosha toka South Africa,wanasitisha kufungia vinu vya nyuklia,wanapunguza matumizi,na juzi wametoa ruzuku.

Wao wameziexempt bidhaa sababu wanazihitaji kazi inabaki kwa Urusi azipige pin zisiende Ulaya (na usisahau kwamba hayo Madini hayapatikani Urusi pekee hata nchi nyingine yapo km Australia,nk tofauti ni kwamba Russia bei chee) lakini hawezi sababu anahitaji pesa aendeshe vita yake aliyoianzisha isio na kichwa wala miguu.
 
Mshaambiwa huko....endelezeni njozi zenu
 
Gari ndo kwanza inazidi kuchochea moto....endeleeni na madua yenu ya kuku
 
Ungekuwa mfuatiliaji utaelewa Turbine zilichukuliwa na Kampuni ya Siemens ya Ujerumani na kupelekwa Canada kwa maintenance, na sasa zipo Ujerumani
Na Urusi walikataa kuzichukua wakaja na conditions mpya kwamba hawatofungua bomba mpaka vikwazo viondolewe,Leo Putin anadai tena turbine,yaani ni ze comedy[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Huyohuyo anaedai vikwazo viondolewe anasema vikwazo havijamdhuru chochote lkn cha kushangaza anataka vitolewe kabisa.[emoji23][emoji23]
 
Mtafanya service na mtaleta maana jamaa unajua kipupwe wewe🤣🤣🤣🤣🤣 usijefananisha na MAKETE???
 
Amedai wapi mbona unafosi kingi blaza......mmeshaambiwa gesi mtapata pale tu ikipatikana hio turbine......na hio turbine mrusi ataipokeaje wakati mlianza wenyewe kuweka vikwazo.....kila mtu ashinde mechi zake
 
Gari ndo kwanza inazidi kuchochea moto....endeleeni na madua yenu ya kukuView attachment 2349339
Putin kasema!!!!!!!

Hivi huko Russia kuna chombo gani huru cha habari?! Embu jaribu kuandamana uone cha mtema kuni!! Hata hii operation kuita Vita inaweza kukupeleka jela. Jamaa kaziba watu midomo halafu anakuja kwenye media kujitapa,RCB wenyewe walieleza wazi kwamba Uchumi wa Urusi utashuka.

Yanayotokea Russia nafananisha na enzi za mwendazake hapa Bongo,serikali inatoa data za kupika ole wako uzipinge,unapewa kesi ya money laundering na uhujumu uchumi
 
Amedai wapi mbona unafosi kingi blaza......mmeshaambiwa gesi mtapata pale tu ikipatikana hio turbine......na hio turbine mrusi ataipokeaje wakati mlianza wenyewe kuweka vikwazo.....kila mtu ashinde mechi zake
Gas flows to Europe won’t resume until sanctions lifted: Russia
The Kremlin

Russian gas supplies to Europe will not resume until Western sanctions against Moscow are lifted, the Kremlin has said.

Dmitry Peskov, the Kremlin spokesman, said on Monday the sanctions were the sole reason behind Russia’s decision to shut the Nord Stream 1 (NS1) pipeline. Moscow initially said it was shutting the pipeline, which supplies gas to Europe, for maintenance.

ALJAZEERA
 
Amedai wapi mbona unafosi kingi blaza......mmeshaambiwa gesi mtapata pale tu ikipatikana hio turbine......na hio turbine mrusi ataipokeaje wakati mlianza wenyewe kuweka vikwazo.....kila mtu ashinde mechi zake
Leo wanadai turbine na sio kuondolewa kwa vikwazo tena[emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…