Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
Wanataka kuhamisha magoli[emoji1787]Amedai wapi mbona unafosi kingi blaza......mmeshaambiwa gesi mtapata pale tu ikipatikana hio turbine......na hio turbine mrusi ataipokeaje wakati mlianza wenyewe kuweka vikwazo.....kila mtu ashinde mechi zake
Jikanyageni ...Winter is comingLeo wanadai turbine na sio kuondolewa kwa vikwazo tena[emoji38]
Mkuu,Hiyo Gas siku Moja ataiuza kwa bei ya kutupwa.Kumbuka hata Ujerumani Hadi Sasa amesha fyeka more than 16% Kwenye utegemezi wa Gas Toka Urusi.UK ndio Hana time kabisa na Gas ya Urusi anaipata Toka Norway kitambo .Italy katulia zake kitambo sana alishaona njia Algeria ndio mkombozi wa Italy.Qatar anasupply LNG kwa nguvu,70% ya US LNG inaenda Ulaya.Urusi anambembeleza mchina anunue Gas.China na India wamekomba mafuta ya Russia Sasa hawataki Tena mafuta yake.Putin kifupi anachemka kugeuza bidhaa inayokupa pesa kama silaha kwa mteja wake.
Nasm Mkuu,Wanaolia tunawaona ...dunia ya sasa sio ya zama za kale watu mnakusanyika jioni kusikiliza stori za lofa mmoja akiwapa habari za dunia.............na jitihada zenu zote za kuzuia habari za urusi safari hii hali ngumu mbivu na mbichi zinaonekana
Naomba picha ya hilo likifaaNaona kama watu wengi hawajaelewa kitu kwenye matamshi ya Putin,
Russia itafungulia gas hata kesho kama watapata TURBINE
Mtego upo hapo kwenye kuipata hiyo TURBINE,
Kwa mujibu wa viongozi wa Germany ni kwamba hiko kifaa kipo tayari muda tu na wao kwa upande wao wameshafanya kila kitu ili kifaa kiwe derived to Russia,wanasubiri upande wa Russia wakamilishe some process ili kifaa kitumwe kwenda Urusi
Russia kagoma muda tu kukamilisha mchakato ili TURBINE iwafikie
Kwahiyo unaweza kuona mchezo unaochezwa hapo,TURBINE itafika vipi Russia?
Washaweka azimio kuachana nayo soon.Narudia Tena uchangiaji wa humu Ni kipimo.tosha kwamba wewe Ni taahira, mzima au wanakubomoa aka shoga
Mkinyimwa gesi mnalalamika, mkipewa gesi mnalalamika.
Kwa kukusaidia tu labda ungesema he kwanini Hao mashoga zenu EU wasikatae kabisa kutumia gesi ya Russia, ambayo kila kukicha anawatesa nayo?
Easily said than done .....Washaweka azimio kuachana nayo soon.
Swala lililopo mezani ni sasa ambapo kazima hiyo gas.
Nchi zote EU zishatafuta solutions so hamna crisis kwao zaidi ya kupandisha bei umeme.
Maan a ni huyohuyo mrusi yuko tayari kuuza tena kwa bei mbaya baada ya kuona EU wanasolve Kimyakimya, akiwasha unaendelea kutumiwa huku hizo nchi zina plan B.
Asipowasha ni sawa vilevile EU wanaendelea na mipango yao.
Urusi kavunja mkataba kuzima hiyo,ni wake up call nchi hizo wanatafuta namna ya kuachana na gas yake kimoja.
Miaka mi5 vipi wakati lengo la wanunuzi ni kuachana na hiyo gas kuanzia mwishoni mwa mwaka huu.Easily said than done .....
If ...and repeatedly If ...they can attain any replacement ...it is PROJED that in 2027 they can attain that
Turudi kwenye uhalisia ...sasa ...effect ya miezi mi3 tu...nazungumxia tangu Russia alipoanza kupunguza viwango..... imeleta haya yote na tishio la instability both economically and politically ...can you imagine miaka 5?[emoji848]
Waichukuaje wakati mmeweka vikwazo kuleni jeuri yenu,,,,,,unaingia uwanja wa mapambano unarusha ngumi mwenzio akijbu unasema sitaki upige ngumi na mkono wa kushoto.....mmeshachagua vikwazo basi pambaneni na yote....njaa haina baunsaNa video hii hapa chini,bisha na hii[emoji116].
Ndio maana nashangaa Putin Leo analilia turbine wakati walishaambiwa tangu August mwanzoni wakaichukue,wakadai hawataki wanataka vikwazo viondolewe ndo watoe Gas
Huyu jamaa sasa hivi akapimwe maana anakoelekea ni kituko, si alidai hatorudisha gesi hadi waondolewe vikwazo vyote.
Now kikwazo ni turbine.
Putin says Russia will restart Nord Stream 1 gas flows 'tomorrow' if it gets turbines, and blames sanctions for the shutdown Karen Friar
State-owned energy company Gazprom has slashed the supply of natural gas to Europe.AFP/Getty Images
Russian President Vladimir Putin said Wednesday that Gazprom could restart gas flows to Europe via the key Nord Stream 1 pipeline tomorrow, if it gets the turbines needed.
- President Vladimir Putin said Russia could restart gas flows to Europe via Nord Stream 1 'tomorrow', if it gets turbines.
- Russia indefinitely halted flows through the pipeline last week, intensifying Europe's energy crisis.
- He blamed Germany and Western sanctions for the indefinite halt in operations for the pipeline.
He blamed Germany and Western sanctions for the indefinite halt in operations for the pipeline, according to media reports from his speech at the Eastern Economic Forum
Source yahoo latest news
Siamini kama Putin ni mpuuzi kiasi hiki, US playing long term game na ameshashinda tayari, zile terminals zinazojengwa gulf coast za kusafirisha LNG zimekula market kubwa sana ya Russia na ndio US alichokuwa anatafuta, sitaki hata kuamini kama Russians ni wapuuzi kiasi hiki...sad indeed!!!Ukisikia akili kubwa ndo kama hizi ....you gota apprecite this chess player[emoji2956]
Watu wanalia huku.....masarafu yao yanaporomoka mrusi ndo kwanza uchumi unakua.........hii longterm itawavua nguo hao wamagharibi kwanza vita inavyozidi kuendelea na influence yao inapotea maana watu wote sasa wanaona mbivu na mbichi...........Russia ndo kwanza anazidi kuongeza masoko huko asia kukosa soko la ulaya ni kama hamna kitu kimetokea kwake ila upande wa pili wanasaga menoSiamini kama Putin ni mpuuzi kiasi hiki, US playing long term game na ameshashinda tayari, zile terminals zinazojengwa gulf coast za kusafirisha LNG zimekula market kubwa sana ya Russia na ndio US alichokuwa anatafuta, sitaki hata kuamini kama Russians ni wapuuzi kiasi hiki...sad indeed!!!
Sorry hamnazo kweli lipa uwone kama hamjaamka mafuta yanauzwa kwa tsh 5000 lts. USA ni noma sana.Kama China kakubali kulipa kwa Ruble sisi ni nani tubishe na kupiga ramli?
Hayo ni makubaliano yao wenyewe maana hapa nilipo mvua imenyesha Sana na baridi kwa mbali
Sasa bora wazungu wakubali tu masharti ili tusife kwa baridi
Qatar peke hawezi
Putin anawapelekesha haswa na hii kampuni ni ya 23 duniani
Sio mchezo
Time will tell, Russia kishashindwa tayri, usicheze na US watakumaliza tuuWatu wanalia huku.....masarafu yao yanaporomoka mrusi ndo kwanza uchumi unakua.........hii longterm itawavua nguo hao wamagharibi kwanza vita inavyozidi kuendelea na influence yao inapotea maana watu wote sasa wanaona mbivu na mbichi...........Russia ndo kwanza anazidi kuongeza masoko huko asia kukosa soko la ulaya ni kama hamna kitu kimetokea kwake ila upande wa pili wanasaga menoView attachment 2349614View attachment 2349615
Unajifari huku ukiendelea kula kwa mlenda?Huyu mzee anawaendesha wazungu kqma mabwege. Yaani hatabiriki, hasomeki. Kifupi ananikosha sana[emoji2][emoji2]
Hisia vs uhalisia...............fata yanayokufurahishaTime will tell, Russia kishashindwa tayri, usicheze na US watakumaliza tuu
There is no way on earth they could achieve thqt ...not even in their wildest dreams [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Miaka mi5 vipi wakati lengo la wanunuzi ni kuachana na hiyo gas kuanzia mwishoni mwa mwaka huu.