hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji16][emoji16]Unajiliwaza na msongo wa mawazo mkali ila nakushauri vuta subira maana Putin hajawahi kutuangusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]Unajiliwaza na msongo wa mawazo mkali ila nakushauri vuta subira maana Putin hajawahi kutuangusha
Kwisha kabisa putini., alisema wakijiunga tu atafanya mashambulizi kwenye moyo wa nchi za ulaya sasa ameona haiepukiki tena kwa Finland na Sweden kujiunga na NATO analeta ngojera nyengine.Rais Vladimir Putin amesema Urusi itajibu ikiwa NATO itapeleka Vikosi na Miundombinu katika Mataifa ya Sweden na Finland baada ya kujiunga na Muungano huo
Ameeleza, Nchi yake haina shida kama Sweden na Finland zinataka kujiunga NATO, Mataifa hayo lazima yaelewe kwamba hakukuwa na tishio awali, lakini hivi sasa mivutano inaweza kutokea
Kuhusu Ukraine, ameeleza kuwa "Operesheni ya Kijeshi" inaendelea kama ilivyopangwa na Malengo ya Urusi hayajabadilika
======
President Vladimir Putin said on Wednesday that Russia would respond in kind if NATO deployed troops and infrastructure in Finland and Sweden after they join the U.S.-led military alliance.
"With Sweden and Finland, we don't have the problems that we have with Ukraine. They want to join NATO, go ahead," Putin told Russian state television after talks with regional leaders in the central Asian ex-Soviet state of Turkmenistan.
"But they must understand there was no threat before, while now, if military contingents and infrastructure are deployed there, we will have to respond in kind and create the same threats for the territories from which threats towards us are created."
He said it was inevitable that Moscow's relations with Helsinki and Stockholm would sour over their NATO membership.
"Everything was fine between us, but now there might be some tensions, there certainly will," he said. "It's inevitable if there is a threat to us."
Putin made his comment a day after NATO member Turkey lifted its veto over the bid by Finland and Sweden to join the alliance after the three nations agreed to protect each other's security.
The move means Helsinki and Stockholm can proceed with their application to join NATO, marking the biggest shift in European security in decades.
Putin added that the objectives of what Moscow calls its "special military operation" in Ukraine remained unchanged, that its goal was to "liberate" eastern Ukraine's Donbas region and create conditions to ensure Russia's security.
He said Russian troops had advanced in Ukraine and that the military intervention was going as planned. There was no need, he said, to set a deadline for an end to the campaign.
Source: Reuters
Alisema Finland na Sweden wakijiunga na NATO atapiga kwenye moyo ulaya sasa amekuwa kama mwanamke anabadlika badilika kwa woga., silaha kila leo zinamiminika ukraine mpaka mifumo ya kupiga long rangeKwani kuna aliyesogeza mguu zaidi ya kupeleka vifaa chakavu?
Anaiogopa NATO kama mdudu, si alisema wakijiunga tu atashambulia sasa mbona analeta habari ya miundombinu?Putin endelea kula vichwa tu hao mashoga wasikuzingue
Kwahiyo hakuzuia hizo nchi kujiunga na NATO?Unajiliwaza na msongo wa mawazo mkali ila nakushauri vuta subira maana Putin hajawahi kutuangusha
Elimination is the next. CIARais Vladimir Putin amesema Urusi itajibu ikiwa NATO itapeleka Vikosi na Miundombinu katika Mataifa ya Sweden na Finland baada ya kujiunga na Muungano huo
Ameeleza, Nchi yake haina shida kama Sweden na Finland zinataka kujiunga NATO, Mataifa hayo lazima yaelewe kwamba hakukuwa na tishio awali, lakini hivi sasa mivutano inaweza kutokea
Kuhusu Ukraine, ameeleza kuwa "Operesheni ya Kijeshi" inaendelea kama ilivyopangwa na Malengo ya Urusi hayajabadilika
======
President Vladimir Putin said on Wednesday that Russia would respond in kind if NATO deployed troops and infrastructure in Finland and Sweden after they join the U.S.-led military alliance.
"With Sweden and Finland, we don't have the problems that we have with Ukraine. They want to join NATO, go ahead," Putin told Russian state television after talks with regional leaders in the central Asian ex-Soviet state of Turkmenistan.
"But they must understand there was no threat before, while now, if military contingents and infrastructure are deployed there, we will have to respond in kind and create the same threats for the territories from which threats towards us are created."
He said it was inevitable that Moscow's relations with Helsinki and Stockholm would sour over their NATO membership.
"Everything was fine between us, but now there might be some tensions, there certainly will," he said. "It's inevitable if there is a threat to us."
Putin made his comment a day after NATO member Turkey lifted its veto over the bid by Finland and Sweden to join the alliance after the three nations agreed to protect each other's security.
The move means Helsinki and Stockholm can proceed with their application to join NATO, marking the biggest shift in European security in decades.
Putin added that the objectives of what Moscow calls its "special military operation" in Ukraine remained unchanged, that its goal was to "liberate" eastern Ukraine's Donbas region and create conditions to ensure Russia's security.
He said Russian troops had advanced in Ukraine and that the military intervention was going as planned. There was no need, he said, to set a deadline for an end to the campaign.
Source: Reuters
Finland na Sweden zimeshapiga saana jalamba kujiandaa na vita, kumbuka sweden na finland sio Ukraine. Hawa wana pesa na jalamba wamepiga vya kutosha.Kwisha kabisa putini., alisema wakijiunga tu atafanya mashambulizi kwenye moyo wa nchi za ulaya sasa ameona haiepukiki tena kwa Finland na Sweden kujiunga na NATO analeta ngojera nyengine.
Kila analosema lisifanyike likifanyika anageuka., ni mwonga sana huyu kenge putini shenz type., anawaogopa NATO kama mdudu., maaamae
Huu utabiri ni mara ya 10 unauleta humu, NATO na EU ndii wapi against Russia na sio dunia. Kwa taarifa yako hao NATO na vibaraka wake hawatathubutu kumvamia Russia, na wakithubutu yatawakuta makubwa. Na hilo wanalijua fika, Russia sio Iraq.Rais wa Russia anafanya mchezo wa kitoto kwenye bwawa la moto... Mwisho moto utamuunguza. Kiufupi dunia imesimama kwa umoja wao kumsimamisha Putin. Hakuna asie juwa nn anawaza putin na hakuna kiongoz yeyote yupo Tayari kuona kile Putin anafanya na kukaa kimya. Vyombo vyote vya kiusalama na Ulinzi vipo kwenye hali ya hatari kwa vita ua tatu ya dunia. Kiufupi kuna kila jitihada za ki intelligence zinatumika kumuondoa madarakani. Maana kile Russia anakifanya sio sawa ktk dunia ilio staarabika. For God sake Putin must removed and if possible they will eliminate same like Hitler
Wewe ndiyo unabwabwaja.Homicidal dictator anabwabwaja tu
Ila alieimaliza ni MOTHER RUSSIA[emoji106]Alianzisha WW2 ni Stalin au Hitla!!!!!!
Ukiamka usisahau kukojoa halaf ulale tena sawa MKUURais wa Russia anafanya mchezo wa kitoto kwenye bwawa la moto... Mwisho moto utamuunguza. Kiufupi dunia imesimama kwa umoja wao kumsimamisha Putin. Hakuna asie juwa nn anawaza putin na hakuna kiongoz yeyote yupo Tayari kuona kile Putin anafanya na kukaa kimya. Vyombo vyote vya kiusalama na Ulinzi vipo kwenye hali ya hatari kwa vita ua tatu ya dunia. Kiufupi kuna kila jitihada za ki intelligence zinatumika kumuondoa madarakani. Maana kile Russia anakifanya sio sawa ktk dunia ilio staarabika. For God sake Putin must removed and if possible they will eliminate same like Hitler
Si kweli, bila Uingereza Russia isingekuwepo,Russia ndiye Mungu wa vita Duniani.
Ndiye aliyeshinda WW2, hata sasa hivi nchi zaidi ya 30 za NATO zinaiwaza nchi moja ya Russia bila majibu.
Bila shaka unaifahamu Russia kwa kuifuatilia kwenye vyombo vya propaganda vya magharibi.Si kweli, bila Uingereza Russia isingekuwepo,
Uingereza ndio nchi pekee ambayo ilisimama na kupambana na Napoleon, Uingereza ndio nchi pekee ambayo Hitler alishindiwa kabisa kukanyaga mguu.
Endapo Hitler asingepigana upande wa Magharibi na akina Uingereza, leo Urusi ingekuwa sehemu ya Ujerumani na Japan
Naona ushakula marage unakuja kujamba uku uingereza alifanya nn kwenye vita ya pili zaidi ya kimbelembele hitla alikosea hesabu zake Tu alivyotoka Ufaransa alitakiwa aende uingereza kuichakaza yeye akakimbilia Poland ili aingie Rusia na yote ni sababu ya tamaa ya nishati ya Rusia kama si tamaa Leo hii uingereza naye angechakazwa vilevileSi kweli, bila Uingereza Russia isingekuwepo,
Uingereza ndio nchi pekee ambayo ilisimama na kupambana na Napoleon, Uingereza ndio nchi pekee ambayo Hitler alishindiwa kabisa kukanyaga mguu.
Endapo Hitler asingepigana upande wa Magharibi na akina Uingereza, leo Urusi ingekuwa sehemu ya Ujerumani na Japan