Kisaka80
Senior Member
- Feb 4, 2012
- 151
- 94
Wakuu wana JF,
Naomba mnisaidie coz nataka kufanya maamuzi magumu lakini kinachotatiza ni hii PUTS 2-3 kuwa ni Tsh. ngapi. Kuna kazi ya Assistant lecture imetangazwa UDOM, mie sifa ninazo na ninataka kuomba hiyo job but kwa sasa nina job nyingine tena GVTS ambayo basic ni 954,000/= sasa nataka wataalamu mnishauri je kwa hiyo rate ya PUTS 2-3 ni sh.ngapi, na je hali ya maisha ya Dodoma kwa hiyo PUTS 2-3 inaweza mtu kukutoa kimasomaso na kusonga mbele?
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa mtakao weza nipa mwangajuu ya hili li-kitendawili langu.
Asante,kazi njema ndugu zangu.
Naomba mnisaidie coz nataka kufanya maamuzi magumu lakini kinachotatiza ni hii PUTS 2-3 kuwa ni Tsh. ngapi. Kuna kazi ya Assistant lecture imetangazwa UDOM, mie sifa ninazo na ninataka kuomba hiyo job but kwa sasa nina job nyingine tena GVTS ambayo basic ni 954,000/= sasa nataka wataalamu mnishauri je kwa hiyo rate ya PUTS 2-3 ni sh.ngapi, na je hali ya maisha ya Dodoma kwa hiyo PUTS 2-3 inaweza mtu kukutoa kimasomaso na kusonga mbele?
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa mtakao weza nipa mwangajuu ya hili li-kitendawili langu.
Asante,kazi njema ndugu zangu.