Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

Mm ni mmoja wa wanaoweka uzito wa huku kuitwa home of thinkers, neno great mm nilishalitoa.
Ww ni mtupu kichwani, hapa tu niseme tuanze kujadili treasury bonds and treasury bills utakimbia
Kwani tujadili huko na wakati kuna hoja mezani imetolewa na NIPASHE? anzisha uzi wako wa treasury bonds and treasury bills tutakuja huko tumalizane na Mwigulu kwanza hizi ni kodi zetu
 
Kwani tujadili huko na wakati kuna hoja mezani imetolewa na NIPASHE? anzisha uzi wako wa treasury bonds and treasury bills tutakuja huko tumalizane na Mwigulu kwanza hizi ni kodi zetu
Utawezaje kuunga mkono jambo ikiwa hulielewi vizuri?
But comment yangu ililenga kukujibu uliposema huku sio fb, as if upo timamu sana wakati ww ni mweupe kichwani
 
Utawezaje kuunga mkono jambo ikiwa hulielewi vizuri?
But comment yangu ililenga kukujibu uliposema huku sio fb, as if upo timamu sana wakati ww ni mweupe kichwani
Wewe kama damu imekurukia siyo mbaya tetetea ujangili wa mali za umma, sisi tunataka uchunguzi huru, kama hakuna upotevu mnaogopa nini uchunguzi huru? si ndiyo utawasafisha?
 
Mh @Dk. Mwigulu Nchemba unaonaje Nipashe wakakanusha taarifa hii wenyewe? Manake wametupasha na tumepashika kisawasawa itabidi sasa watupooze manake tumepashika sana tunakaribia kuungua
 
Watanzania hatujawahi kuwa serious na Wala uwezekano wa kuwa serious hivi karibuni siuoni, nyie kuleni tu na vile kamba zimekatika........!
 
Baada ya kuifilisi mifuko ya hifadhi ya jamii, sasa wamehamia BOT! Nchi ngumu sana hii.
 
hili nalo neno
 
Maelezo yako hayaendani na ulicho ambatanisha apo chini......

Unajua kuwa alama za mtu mnafiki ni tatu......!!

.....Mojawapo ni pale anapoaminiwa hufanya khiyana,
 
naona kuna gap hapo kati ya kuchotwa kutoka kwenye makusanyo na kuchotwa katika ukopaji.

mmekopa pesa,tunaomba transations,lakini ikisemekana easy kwa kujibu kuwa mmekopa na inaonekana kuwa hakuna taarifa ya kukopa hapo ni utata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…