Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

Mheshimiwa ni akili ndogo tu kujua hizi heading za magazeti ni kwa ajili ya kuuza gazeti. Usisahau nipashe inahitajika ilipe mishahara, nssf, umeme, transport and other factory overhead costs.

Waandishi wetu hawa akina millard ayo na habari zao za kuset positive, brand awareness and expansion huwa hawako serious wala hawana data. Wao wanaandika tuu
 
Hiyo habari iko kimkakati sana 😂
 
Huyu mtu hapaswi kupewa maneno malaini anapaswa kuoigwa nyundo kwa hatua tuliyo fika kwa sasa iko iviii…. Ubaya ubwela
 
Tueleze pesa za kununua na kuendesha timu za mpira wa miguu za ligi kuu unazipata kwa mshahara gani?
 
Inakuwaje unamjibia Gavana? Nadhani wewe ingekuwa ni nyongeza tu baada ya Gavana wa benki kuu kujibu, wewe ni mwanasiasa sio rahisi kuaminika.
 
Tupe mapato na matumizi ya zile tozo za miamala ulizoongea bungeni kuwa mnaenda kujenga shule na zahanati. Kama mnakuja na proposals nzuri na utekelezaji unakuwa sifuri namna hyo ni nani atawaamini mkija na hoja nyingine inayohusu kodi? Tupo vijijini huku lakini tunafuatilia nini kinendelea huko. TAARIFA ZA MAPATO NA MATUMIZI YA MIAMALA ndugu waziri.
 
Uvivu wako wa kusoma usiufafanishe na waziri wewe
Umeandika pumba bila kujua hii amepost kote ambako ana account
Uvivu wako wa kusoma utakufanya uwe chawa wa Viongozi na kumtetea kwani amekuambia ameshindwa kujibu au wewe ni katibu wake binafsi
 
Uvivu wako wa kusoma usiufafanishe na waziri wewe

Uvivu wako wa kusoma utakufanya uwe chawa wa Viongozi na kumtetea kwani amekuambia ameshindwa kujibu au wewe ni katibu wake binafsi
Nilikusaidia kutumia akili kuwa hawezi kujibu sababu anatumia mitandao mingi
Lakini kama unasubiri ajibu, basi subiri
 
Nadhani Itapendeza zaidi kama BOT wataliita gazeti la Nipashe,Mhariri na Mwandishi wapewe hili darasa na vielelezo,wao wakiridhika ndiyo waje wafanye sahihisho kwenye ukurasa ule,kama ulikuwa ukarasa wa mbele basi waandike ukurasa wa mbele.Nipashe waitwe kwa dhamira njema na siyo vitisho,kwa maana vyombo vya habari ndiyo jicho la wananchi,walipa kodi na wenye Serikali,kwa maana Serikali za kuchaguliwa zinawekwa madarakani na wananchi kama magoli ya mikono hayatumiki kuweka Serikali madarakani.
Watu wenye uelewa,kuwa ni utetezi wa Serikali tu,kama BOT itakuja na kanusho la ukurasa Mmoja au hata kurasa 10,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…