Waje TizeeEneo la Pwani nchini Kenya limetangaza mpango mkakati Wa kujitenga kutoka Kenya...madai yao ni kwamba wamepuuzwa na sana na serikali zote zilizotawala Kenya..so wanajipanga kwaajili ya kutekeleza mpango wao na watakuwa tayari kwa changamoto zote watakazokutana nazo pindi watakapoliamsha dude...source KTN news
Kichwa yako imejaa chang'aa na ukabila, kwa hiyo kila mtu mwenye mawazo tofauti na kabila lako basi unaona sio sawa, kwani Mombasa kudai kujitenga imeanza na Joho au King?, umesahau Mombasa Republican council (MRC) walivyokuwa wakilalamika wakauliwa karibu wote?, acha kuficha kichwa chako ndani ya kwapa, huo ndiyo ukweli, Kenya is a country with about 40 Nations, soon others will follow, stay tunedIfahamike vizuri kuwa ni Joho na Kingi wanaotaka kujitenga na Kenya wala sio wakaazi wa Pwani.
acha udini kengenge wwNiliona kwenye press yao wakisema kwamba wanatambua watakutana na mabonde, milima, jasho na damu lakini hatimaye watafanikiwa....ukizingatia eneo la Pwani wengi wao ni waislam, naanza kuogopa
Movement ya mombasa Republican imeanza lini? Ile wanayosema pwani sio Kenya!Ifahamike vizuri kuwa ni Joho na Kingi wanaotaka kujitenga na Kenya wala sio wakaazi wa Pwani.
Jibu hoja buda[emoji33] [emoji33]LCD mtuletee pia ya Zanzibar.
na ndio maana huku tz CCM haitaki kusikia kabisa huo ujinga,hofu ni kuwa wakikubali hiko kitu pemba tunaisahau kaskazini napo tunaweza pata shida kuicontrol maana ina upinzani mkubwa na upinzani lazima watumie advantage ya majimbo kufanya wanayotaka ikiwepo na kujitenga.Hiyo ndio faida ya mifumo ya majimbo.
Wasipokua makini kila jimbo litatanga kujitenga.
Wajitenge wajiunge na upande wetu tufanye kazi.