yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,409
Eneo la Pwani nchini Kenya limetangaza mpango mkakati Wa kujitenga kutoka Kenya...madai yao ni kwamba wamepuuzwa na sana na serikali zote zilizotawala Kenya..so wanajipanga kwaajili ya kutekeleza mpango wao na watakuwa tayari kwa changamoto zote watakazokutana nazo pindi watakapoliamsha dude...source KTN news