Pwani: Utupaji maiti katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi, umekithiri

Pwani: Utupaji maiti katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi, umekithiri

Ugumu wangu

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2021
Posts
1,685
Reaction score
3,552
Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wameiomba kamati ya ulinzi na usalama kukomesha matukio ya utupaji maiti katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi, ambapo Julai hadi Agosti maiti sita zimekutwa kwenye msitu huo.

Chanzo: East Africa TV
1630497877411.png
 
Back
Top Bottom