Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani wameiomba kamati ya ulinzi na usalama kukomesha matukio ya utupaji maiti katika msitu wa Pugu Kazimzumbwi, ambapo Julai hadi Agosti maiti sita zimekutwa kwenye msitu huo.
Chanzo: East Africa TV
Chanzo: East Africa TV