Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
- Thread starter
- #21
Hata Ila😢😢😢😢Sio kila matukio yanayusu siasa mengine Ni uhalifu tu wa kawaida wa binadamu duniani kote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Ila😢😢😢😢Sio kila matukio yanayusu siasa mengine Ni uhalifu tu wa kawaida wa binadamu duniani kote
Kwa hapa bongo commonly ni siasa. Mara chache sana Majambazi kuua watu. Wao huchukua mali na kusepa. ukiona yameua basi kuna jambo la ziada zaidi ya mali na fedha.Sio kila matukio yanayusu siasa mengine Ni uhalifu tu wa kawaida wa binadamu duniani kote
Unapiga Physics chini ya mstu unajiona kama Newton Vile. Huku umeshiba wali magarage🤣🤣🤣Minaki pale ule msitu si mchezo..
Tulikua tunatiaga misuli pemben pemben ya huo msitu kwenye vichaka,
Wanngu wa milambo dom wanaelewa..
Zinatupwa makusudically kuwatisha wananchiMaiti itupwe then hatua zisichukuliwe? Tayari wamerudi tena Mungu wangu. Tutapona vipi Yaraabiii!!!
Kwamba msidhani hatupo.
😅😅😅..hatary sana,,apoUnapiga Physics chini ya mstu unajiona kama Newton Vile. Huku umeshiba wali magarage🤣🤣🤣
Milambo mlikuwa wachumba...wajanja wote tulikuwa makongoro na lumumba...teh teh tehMinaki pale ule msitu si mchezo..
Tulikua tunatiaga misuli pemben pemben ya huo msitu kwenye vichaka,
Wanngu wa milambo dom wanaelewa..
Harafu uko Dar au?Hiyo misitu ni Real mkuu
ndio mmiliki wa vyombo vya ulinzi na usalama vyote. Atwambie aliyeua.Wana siasa watakwambia Rais ndio kauwa.
R.I.P JPM.
Wauawaji hawatunzagi takwimu. Kama wanataka kutoa ujumbe kwamba watu waache kuchonga, msg sent. Lakini kuchonga hatuachiTakwimu zitunzwe na wale walio na weledi wa Kitanzania,sii takuwa miujiza.
Hayo ya ujambazi yanajulikana, na kama yameua hayabebagi maiti, wao ni kutoroka haraka na salama. Na wanajitahidivkuondoka na mzigo, sio mtu. Kama wanaondoka na mtu basi si inajulikana walishambulia au kuvamia sehemu na wameondoka na fulani, na huyo fulani anatafutwa. Ikipatikana maiti ni kujaribu kuitambua tu, kazi kwisha. Hii siyo ujambazi. Ni siasa.Sio kila matukio yanayusu siasa mengine Ni uhalifu tu wa kawaida wa binadamu duniani kote
Ulimwengu wa kidigital, hakuna taarifa za waliouliwa!Mbaya zaidi serikali haina takwimu za watu wanaopotea kila siku
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
😅😅😅..hahaha hauko serious,..Milambo mlikuwa wachumba...wajanja wote tulikuwa makongoro na lumumba...teh teh teh