Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
inaweza kua serial killerYamerudi tena ya kuua watu na kuwatupa kwenye misitu
Siku hizi sio Mabwepande tenaYamerudi tena ya kuua watu na kuwatupa kwenye misitu
Kumekuwa mjini siku hizi.
Hatari sanaYamerudi tena ya kuua watu na kuwatupa kwenye misitu
Mungu atusaidie kiukweliinaweza kua serial killer
Takwimu zitunzwe na wale walio na weledi wa Kitanzania,sii takuwa miujiza.Mbaya zaidi serikali haina takwimu za watu wanaopotea kila siku
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Izitoe wapi na huo mda wanao basi, kazi kushurutisha watu kuifuatilia Chadema tuMbaya zaidi serikali haina takwimu za watu wanaopotea kila siku
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Na wale wakianza, hawaachi hadi wakamatwe.inaweza kua serial killer
Mungu atusaidie katika hiliMaiti itupwe then hatua zisichukuliwe?? Tayari wamerudi tena Mungu wangu. Tutapona vipi Yaraabiii!!!
Wamerudi tena. Tulidhani wameondoka na John kumbe sioKama hio picha ndo jinsi msitu ulivo Basi huo uoto Ni wa kutisha asee
Kama hio picha ndo jinsi msitu ulivo Basi huo uoto Ni wa kutisha asee
Sio kila matukio yanayusu siasa mengine Ni uhalifu tu wa kawaida wa binadamu duniani koteWamerudi tena. Tulidhani wameondoka na John kumbe sio