Mkuu angalau badi ungezoom pale mtoto anapoonesha jina lake na miaka tushuhudie maana haya mambo hayaishii hapa yanaenda hafi UNWakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,
Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?
Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+
Pia soma:
Mimi ninachojua kuna shule za kata na wala si mtaa, endapo hii ni ya mjini. Labda kama hapo shuleni ilikuwa ni kituo cha kuandikisha mitaa yote.Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,
Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?
Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+
Pia soma:
Ikiwemo hata wale waliojiandikisha!!!Ni wendawazimu pekee ndiyo watapiga kura
Itapendeza.Mkuu angalau badi ungezoom pale mtoto anapoonesha jina lake na miaka tushuhudie maana haya mambo hayaishii hapa yanaenda hafi UN
Hivi hizi akili wanazitoaga wapi? Na wanafanya hivyo kumfaidisha nani?Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,
Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?
Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+
Pia soma:
Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,
Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?
Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+
Pia soma:
Aibu kwa wasimamizi
WajitafakariAibu sana
Nji hii bila kupasuana huu usengerema hauwezi kwisha.Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,
Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?
Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+
Pia soma:
Hivi wazazi wa hawa watoto wako wapi? Au wanaogopa kutekwa?Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,
Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?
Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+
Pia soma:
Poleni....tulipokuwa tunasema hatuendi kujiandikisha mlituonaCcm ina matatizo sana. Kwahiyo tulioenda kujiandikisha kihalali wote ni wehu tu sasa.
Labda wanaangalia majina lakini jina la mwisho litakuwa la wazazi wao sio wao watoto. wanashangaa majina ya ukoohao watoto si unawaona hapo lakini nao wanashangaa majina yao
Mtoto gani wa form 1 anamiaka 18.18 hao ulitakaje