LGE2024 Pwani: Watoto wa kidato cha kwanza wajiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, Wakuta wameandikiwa wana umri wa miaka 30 na kuendelea

LGE2024 Pwani: Watoto wa kidato cha kwanza wajiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, Wakuta wameandikiwa wana umri wa miaka 30 na kuendelea

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,

Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?

Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+


Pia soma:
Mkuu angalau badi ungezoom pale mtoto anapoonesha jina lake na miaka tushuhudie maana haya mambo hayaishii hapa yanaenda hafi UN
 
Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,

Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?

Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+


Pia soma:
Mimi ninachojua kuna shule za kata na wala si mtaa, endapo hii ni ya mjini. Labda kama hapo shuleni ilikuwa ni kituo cha kuandikisha mitaa yote.
 
Hivi Mbowe yuko wapi mbona yuko kimya hatolei tamko hayo yanayoendelea?
 
Hivi Mbowe yuko wapi mbona yuko kimya hatolei tamko hayo yanayoendelea?
 
Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,

Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?

Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+


Pia soma:
Hivi hizi akili wanazitoaga wapi? Na wanafanya hivyo kumfaidisha nani?
 
Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,

Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?

Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+


Pia soma:

Kazi ya MKWE mwenye KIFUA KIPANA.
 
Wanafunzi wameonekana kushangaa baada ya kukuta majina yao yakiwa na umri wa miaka 33 kwenye orodha ya wapiga kura iliyobandikwa kwa ajili ya uhakiki kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajiwa kufanyika Novemba 27.

Walipofika kwenye maeneo yao kufanya uhakiki, waligundua kuwa taarifa zao zilikuwa zimebandikwa kulikuwa na mapungufu, ikiwemo umri wao, jambo lililowafanya kushangazwa na kujiulizwa maswali juu ya umri wao.


 

Attachments

  • KCYahfFbeaXGcXmB.mp4
    13.6 MB
  • 5818726400637650514.jpg
    5818726400637650514.jpg
    101.5 KB · Views: 3
Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,

Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?

Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+


Pia soma:
Nji hii bila kupasuana huu usengerema hauwezi kwisha.
 
Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,

Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?

Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+


Pia soma:
Hivi wazazi wa hawa watoto wako wapi? Au wanaogopa kutekwa?
 
Back
Top Bottom