covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Tumekubali nchi iendeshe kwa uwongo na viongozi wanabariki hili..Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,
Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?
Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+
Pia soma:
Hii itatugharimu mno kimaadili mno mno.