LGE2024 Pwani: Watoto wa kidato cha kwanza wajiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, Wakuta wameandikiwa wana umri wa miaka 30 na kuendelea

LGE2024 Pwani: Watoto wa kidato cha kwanza wajiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, Wakuta wameandikiwa wana umri wa miaka 30 na kuendelea

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,

Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?

Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+


Pia soma:
Tumekubali nchi iendeshe kwa uwongo na viongozi wanabariki hili..
Hii itatugharimu mno kimaadili mno mno.
 
Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,

Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?

Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+


Pia soma:
Jamani eeh, watu wa ccm hata kama kuiba mnaiba, ibeni kwa akili japo kidogo.
 
Ccm wana vituko sana.
Sijui kwanini hawaiamini.
Kama ni kweli kuna huu ujinga kwanini wana taka uchaguzi? Si wakae hadi watakapo choka kuliko kutumia rasilimali zetu hovyo na kutupotezea muda kwa matokeo waliyo nayo mikononi?
Wakifanya hivyo itaonekana ni nchi ya kidikteta.
 
Wakuu katika pitapita zangu hii imenishangaza kidogo,

Hivi inawezekana wanafunzi wa form one kuwa wamefikisha umri wa miaka 18 hata kama mtoto alichelewa kuanza shule hivi inawezekana kweli?

Nimeona hii video huko X mtaa wa maweni, kata ya Mjimwema Jimbo la Kigamboni wameandikisha watoto wa kidato cha kwanza imeonekana wamejiandikisha baada ya jana majina kubandikwa watoto wanashangaa kuwepo kwa majina yao na wote wameandikishwa umwri wa 30+


Pia soma:
Aibu sana kwa serikali ya CCM
 
Back
Top Bottom