Pweza wa Kichina Kugundua kama Mwenza anacheat

Pweza wa Kichina Kugundua kama Mwenza anacheat

Hata bila pweza wa kichina, naturally unatakiwa kujua tu kwa kutumia pweza wako mwenyewe. Mbona ule wimbo siku hizi 'famous' unasema umelala doro... ukichunguza kidogo tu utabaibi.

By the way, supu ya pweza ni dawa nzuri sana ya matatizo kama haya. Hakikisha unainywa kila siku uone kama mwenzio atakuwa na wazo la ku-cheat!

haha haaa hii kali😛ound:
 
Kampuni moja ya madawa nchini China (Tianjin Xiali) iko iko njiani kuanza kuzalisha kwa wingi Octopus (Pweza) atakayeweza kuonyesha kama mwanandoa mmoja wapo ameenda kinyuma cha maadili ya ndoa yake, Msemaji wa kampuni hiyo ametabanisha kuwa watatua vinasaba vya Paul the octopus aliweza tabiri mechi za kombe la dunia. Nguo za ndani zitawekwa kwenye tanki atakalofungiwa Octopus huyo na kama akienda kwenye chupi ya mama basi huyo mama atakuwa anacheat sana kwenye ndoa, sanjali na kama akienda kwa ya baba basi watu wote kwenye ndoa hiyo.

Waafrika wengi wamepinga sana utafiti huo wa wachina, wengi wao waliohojiwa wamesema iwapo pweza huyo atakuwa akiaibisha wanaume basi maisha yake yatakuwa hatarini.

Wanandoa je mnachukuliaje taarifa hizi?

Habari kwa hisani ya watu wa Marekani mashariti na vigezo kuzingatiwa

we masanilo hii story umebuni mwenyewe.....i know u too well. in other unrelated news, vipi za siku nyingi??? Paul kesha-retire, acha zako!
 
we masanilo hii story umebuni mwenyewe.....i know u too well. in other unrelated news, vipi za siku nyingi??? Paul kesha-retire, acha zako!

Hahahahaha salama my dada! Uko poa?
 
Mimi nitafanya Pweza wangu awe anakamata Watu wanaouwa Maalbino huyo pweza wangu, nitampeleka Sehemu ya Maalbino na kuwakamata wauaji wa Maalbino na ikiwezekana Pweza akiwakamata hao wauaji wa Maalbino Serikali iwahukumu adhabu ya kifo. Huyo Pweza wangu namfanyia kwanza utafiti kabla sijampeleka hizo sehemu za hao Waganga na watu wanaouwa Maalbino asanteni.
 
Masanilo nitafutie Pweza basi nataka nifanye biashara pale Kariakoo!!!
 
Back
Top Bottom