Kampuni moja ya madawa nchini China (
Tianjin Xiali) iko iko njiani kuanza kuzalisha kwa wingi Octopus (Pweza) atakayeweza kuonyesha kama mwanandoa mmoja wapo ameenda kinyuma cha maadili ya ndoa yake, Msemaji wa kampuni hiyo ametabanisha kuwa watatua vinasaba vya Paul the octopus aliweza tabiri mechi za kombe la dunia. Nguo za ndani zitawekwa kwenye tanki atakalofungiwa Octopus huyo na kama akienda kwenye chupi ya mama basi huyo mama atakuwa anacheat sana kwenye ndoa, sanjali na kama akienda kwa ya baba basi watu wote kwenye ndoa hiyo.
Waafrika wengi wamepinga sana utafiti huo wa wachina, wengi wao waliohojiwa wamesema iwapo pweza huyo atakuwa akiaibisha wanaume basi maisha yake yatakuwa hatarini.
Wanandoa je mnachukuliaje taarifa hizi?
Habari kwa hisani ya watu wa Marekani mashariti na vigezo kuzingatiwa