Pweza wa Kichina Kugundua kama Mwenza anacheat


haha haaa hii kali😛ound:
 

we masanilo hii story umebuni mwenyewe.....i know u too well. in other unrelated news, vipi za siku nyingi??? Paul kesha-retire, acha zako!
 
we masanilo hii story umebuni mwenyewe.....i know u too well. in other unrelated news, vipi za siku nyingi??? Paul kesha-retire, acha zako!

Hahahahaha salama my dada! Uko poa?
 
Mimi nitafanya Pweza wangu awe anakamata Watu wanaouwa Maalbino huyo pweza wangu, nitampeleka Sehemu ya Maalbino na kuwakamata wauaji wa Maalbino na ikiwezekana Pweza akiwakamata hao wauaji wa Maalbino Serikali iwahukumu adhabu ya kifo. Huyo Pweza wangu namfanyia kwanza utafiti kabla sijampeleka hizo sehemu za hao Waganga na watu wanaouwa Maalbino asanteni.
 
Masanilo nitafutie Pweza basi nataka nifanye biashara pale Kariakoo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…