Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda alikuwa anavitia ulimi kabia na kuvilamba..Ila viarage vile vingine alikua haogopi, haya sawa😀😀
Vinywaji vya Sumbawanga wanachanganya na cha Arusha aisee😀😀🙌 karibu nikupeleke piaHahahah nimependa kinywaji ulichokunywa jana usiku. Naomba leo unipeleke tukanywe wote
Twende mchana mchanaVinywaji vya Sumbawanga wanachanganya na cha Arusha aisee😀😀🙌 karibu nikupeleke pia
Anavibwia kabisa anamung'unya kama kibogoyo, then maharage anaogopa kweli, hivi anajua kiporo cha wali maharage huyu kilivyo kitamu😀😀🙌Huenda alikuwa anavitia ulimi kabia na kuvilamba..
Sawa Extro, your wish is my command 😎Twende mchana mchana
Nilikuwa nakuheshimu sanaIla viarage vile vingine alikua haogopi, haya sawa😀😀
You are missedIla viarage vile vingine alikua haogopi, haya sawa😀😀
TaTEPAJe unamjua Pythagoras?, huyu mtu alikuwa ni Genius sana watu wa Mathematicx/Hesabu wanamfahamu
Pythagoras alikuwa na tatizo la phobias(uoga wa kitu fulani) alikuwa anaogopa sana maharagwe,yani kuyaona maharagwe kwake ilikuwa sawa na wewe kukutana na Simba
Kutokana na umaarufu na utajiri wake alionao alivamiwa na majambazi nyumbani kwake lakini alifanikiwa kuwatoroka, wakati walipokuwa wana mkimbiza kwa bahati mbaya alienda kutokea kwenye shamba la maharagwe, kutokana na kuyaogopa sana alikubali kukamatwa na kupelekea kifo chake, inadaiwa alifariki kati ya miaka ya 450B.C Au 500B.C
By magical powerView attachment 3136220
Aaaaaah😂😂😂😂🤷🏽♂️🏃🏽♂️🏃🏽♂️🏃🏽♂️🏃🏽♂️Umenielewa mkuu😀😀 tena ndiyo vinatisha zaidi 🏃♀️
Je unamjua Pythagoras?, huyu mtu alikuwa ni Genius sana watu wa Mathematicx/Hesabu wanamfahamu
Pythagoras alikuwa na tatizo la phobias(uoga wa kitu fulani) alikuwa anaogopa sana maharagwe,yani kuyaona maharagwe kwake ilikuwa sawa na wewe kukutana na Simba
Kutokana na umaarufu na utajiri wake alionao alivamiwa na majambazi nyumbani kwake lakini alifanikiwa kuwatoroka, wakati walipokuwa wana mkimbiza kwa bahati mbaya alienda kutokea kwenye shamba la maharagwe, kutokana na kuyaogopa sana alikubali kukamatwa na kupelekea kifo chake, inadaiwa alifariki kati ya miaka ya 450B.C Au 500B.C
By magical powerView attachment 3136220
Hawezi kujua utamu wake..Anavibwia kabisa anamung'unya kama kibogoyo, then maharage anaogopa kweli, hivi anajua kiporo cha wali maharage huyu kilivyo kitamu😀😀🙌
Je unamjua Pythagoras?, huyu mtu alikuwa ni Genius sana watu wa Mathematicx/Hesabu wanamfahamu
Pythagoras alikuwa na tatizo la phobias(uoga wa kitu fulani) alikuwa anaogopa sana maharagwe,yani kuyaona maharagwe kwake ilikuwa sawa na wewe kukutana na Simba
Kutokana na umaarufu na utajiri wake alionao alivamiwa na majambazi nyumbani kwake lakini alifanikiwa kuwatoroka, wakati walipokuwa wana mkimbiza kwa bahati mbaya alienda kutokea kwenye shamba la maharagwe, kutokana na kuyaogopa sana alikubali kukamatwa na kupelekea kifo chake, inadaiwa alifariki kati ya miaka ya 450B.C Au 500B.C
By magical powerView attachment 3136220