Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 550
- Thread starter
-
- #21
Mange ni miongoni mwa watu wanao jitengenezea mazingira kupitia matokio na watanzania ni watu wamatukio nae ndo ameona ni fursa aliyo nayo kujijenga na kuaminika na jamii ya watu wamatukio
Ukija watu wa dar ndo aanamkubari na kaumfutilia mange kuliko wa mikoan
Mkuu fuatilia mijadala ya mkoani kama uliona mange anahangaika nayo ila akisikia tu dar ametia mguu na anajua wengi wanao msoma wanatoka darHaha et wa dar
sijakuelewa hapo mwisho unaposema kuliko neno la yesu ina maana CCM ndio neno la yesu?Toka nianze kumsikia Mange Kimambi mtandaoni, nimeona asilimia kubwa ya watu huamini kila anachosema.
Kwanini kila habari yake inakuwa verified kuliko nyingine?
Au ni watu ni ile tabia ya kupenda kusikia tu kile tunachotaka kusikia ndio kinaoeleka kuamini na kuthibitisha kila anachosema?
Au pengine tumeungana kuwa comrades kwa kuattack upande mmoja ndio maana tunakubali lolote tu ili yule tunaye mshambulia aumie?
Kipi kinakufanya uamini kile anachosema kuliko neno la Yesu!?
Umenena sahihi. Hata hapa JF ukisifia jambo la serikali, wengi wanakuona unajikomba na si ukweli. Ukizusha kuishambulia serikali wewe ni GT! Tunalea kizazi cha ajabu kabisaToka nianze kumsikia Mange Kimambi mtandaoni, nimeona asilimia kubwa ya watu huamini kila anachosema.
Kwanini kila habari yake inakuwa verified kuliko nyingine?
Au ni watu ni ile tabia ya kupenda kusikia tu kile tunachotaka kusikia ndio kinaoeleka kuamini na kuthibitisha kila anachosema?
Au pengine tumeungana kuwa comrades kwa kuattack upande mmoja ndio maana tunakubali lolote tu ili yule tunaye mshambulia aumie?
Kipi kinakufanya uamini kile anachosema kuliko neno la Yesu!?
mi niko simiyu huku na wenzangu tunampenda sana mangeMange ni miongoni mwa watu wanao jitengenezea mazingira kupitia matokio na watanzania ni watu wamatukio nae ndo ameona ni fursa aliyo nayo kujijenga na kuaminika na jamii ya watu wamatukio
Ukija watu wa dar ndo aanamkubari na kaumfutilia mange kuliko wa mikoan
Haya ni mawazo mfilisi! Kumtangaza au kutomtangaza si issue afterall kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake akiwemo mage. Huyu anajaribu kuleta hoja ili tuijadili na kwa kufanya hivyo sioni kama anaajenda ya kumjenga au kumbomoa. We need to think outside the box bagoshaKwa taarifa yako huu UZI wako unazidi kumtangaza MANGE na hata ambao hawamjui wataingia IG kumtafuta na kum-follow!
Waliokutuma wamekosea strategy coz unazidi kumpaisha!
Haya maneno ya nyuma ya keyboard wewe hauko huko unako taja unaogopa kusema ulipo ukweli mange akubarika dar kuliko sehemu nyinginemi niko simiyu huku na wenzangu tunampenda sana mange
Toka nianze kumsikia Mange Kimambi mtandaoni, nimeona asilimia kubwa ya watu huamini kila anachosema.
Kwanini kila habari yake inakuwa verified kuliko nyingine?
Au ni watu ni ile tabia ya kupenda kusikia tu kile tunachotaka kusikia ndio kinaoeleka kuamini na kuthibitisha kila anachosema?
Au pengine tumeungana kuwa comrades kwa kuattack upande mmoja ndio maana tunakubali lolote tu ili yule tunaye mshambulia aumie?
Kipi kinakufanya uamini kile anachosema kuliko neno la Yesu!?