Q&A, kwanini kila habari ya Mange ni verified kuliko nyingine?

Q&A, kwanini kila habari ya Mange ni verified kuliko nyingine?

Nashauri nyinyi maccm mngeanzisha page yenu ya kuongea habari za ukweli nadhani mngepata followers wengi, mbona watu hawana habari na page ya Polepole ? Au jpm huko insta? Hawana mvuto wanaongea yaleyale bombadia ,sijui serikali inapambana na rushwa wakati watu wanaona si kweli,
Siku nyingine ustumie hisia kujibu
 
Back
Top Bottom