Q Chillah anahitaji msaada gani?

Q Chillah anahitaji msaada gani?

mwaka jana mei
Nilikutana naye duka fulani usiku nikaikumbuka sura nikamuita, alifurahi sana maana hakutegemea kama bado anajulikana. Akanialika kwenye hotel 1 anapiga live band, sema sio mambo yangu sikwenda. Sijajua kama bado yuko bukoba, ila kuna mshkaji aliniambia ndio makazi yake kwa sasa anaishi geto na washkaji (maunderground wa bk). Kiukweli hawa wasanii wakitoka kwenye peak bila kuwekeza wanasikitisha sana, kiafya niliona yuko poa tu sema uso wake hauonyeshi nuru, inaonekana kabisa anastress za maisha
 
Namsikiliza Msanii Q Chillah Muda Huu, Sielewi hata Anataka Nini? Huruma Ya Watu Ama? Kuacha Muziki mbona ni Mambo ya Kawaida Sana! Wengi Wameacha, Aache Kulia Lia
ana nyimbo inaitwa cancer, iko njiani kutoka. Labla anaanza kuitengenezea promotion(Kick).
MBona Suma Lee aliacha kimya kimya tu, tu yupo kivyake vyake.
Huyu kelele nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Hope ni another Kick
 
Ana kipaji ambacho ni mtaji kwake, tayari alisha jenga jina tunamtambua vizuri. Hivi ameshindwa hata kuomba ashirikishwe kwenye wimbo ili aamke kidogo kidogo? Mapromota pia wapo sidhani kama atakosa.
Asitutanie bhana, hlf lile jimama la mombasa lilimbwaga au?
Tumchangie basi.
Lianzishe [HASHTAG]#Demi[/HASHTAG],
 
Mi mwenyewe nataka msaada nichangieni halafu nitatoa hapo kidogo kumchangia Chilla
Punguza kutoka fungu la kumi, watu kama hawandio wanastahiri kubugia hilo fungu.😀😀😀
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Hamna shida aimbe tu wapenzi wasikilizaji tupo. Kwanza sasa hivi mziki unalipa kuliko hata enzi zile yeye akomae tu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu jamaa anatafuta kiki hana lolote
 
Back
Top Bottom