Q-Chillah ft Patoranking - KOKU


Hebu waache watu wafanye wanachokuwa huru kufanya,
Na kuimba pia kiswahili haimaanishi wimbo wako unaweza kuwa mzuri,
Kiingereza ni lugha tu kama ilivyo lugha nyingine, tufike mahali tubadilike.
 
Hebu waache watu wafanye wanachokuwa huru kufanya,
Na kuimba pia kiswahili haimaanishi wimbo wako unaweza kuwa mzuri,
Kiingereza ni lugha tu kama ilivyo lugha nyingine, tufike mahali tubadilike.
Tuko katika mageuzi ya kukuza na kutukuza lugha yetu ya kiswahili, ustuvuruge kingereza kimepitwa wakati hata madem saiv hatuwasaundishi kwa kingereza coz hawakishobokei! badilika we ma q-chief wako
 
Tuko katika mageuzi ya kukuza na kutukuza lugha yetu ya kiswahili, ustuvuruge kingereza kimepitwa wakati hata madem saiv hatuwasaundishi kwa kingereza coz hawakishobokei! badilika we ma q-chief wako

Mimi nakuvurugaje na mapinduzi yako?
 
Kuna watu bila kumtaja mondi miwasho haiishi, jamaa kama ni basha basi wanaume wa daa wamekwisha
 
Wimbo mzuri lakin watatoa hayo manyimbo yao hayafiki hata robo ya "MUZIKI" Wa Darassa.
Huku kitaa ni kazi juu ya kazi, Bamba 2 Bamba
MUZIKI ndo habari ya tz kwa sasa.
 
original yake kaimba kiswahili
 
Kwa hali hiyo kupata tuzo MTV atasikia kwenye bomba tu na redioni kwa mondi
 
Tuko katika mageuzi ya kukuza na kutukuza lugha yetu ya kiswahili, ustuvuruge kingereza kimepitwa wakati hata madem saiv hatuwasaundishi kwa kingereza coz hawakishobokei! badilika we ma q-chief wako


Sasa si usikilize nyimbo za kiswahili, unalalamika kama kakuimbia wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…