Self quarantine bongo hiihiii au nje ya nchi
Mwana FA aliingilia bifu ya Jide aka Komando na Clouds,,Mimi toka FA ashindaniahwe na jide enzi zile nilimshusha.
Nakumbuka jide tickets zote sold out. Kwa mwanafa pale makumbusho posta hakuuza. Siti zilikua na magap kibao. Wakaja pale IFM kutuomba tuingie kwa buku 5, watu wakagoma
Basi wakaomba watu waingie bure. Wengine wakakubali wengine hatukuhangaika. Nakumbuka msiba wa ngwair ndo ulifanya show ihairishwe. Jide ndo alianza kutangaza show then FA akatangaza same date. After msiba wa ngwair jide akatangaza tarehe ingine na amount. Fa nae akatangaza same date na kiingilio.
Bado nisimshushe?
Kwa suala la corona kwangu naona wanafanya drammar tuu na Ummy. Yaan as if corona aint big deal.
Kwa upande mmona ina faida kwa kua ile tension ta uoga inapungua lakini hasara yake ni kwamba watu wataichukulia poa pia.
Kwahiyo nimemuelewa vyema chillah.
Kuwa teja haimaanishi mtu hana utimamu wake. chid benz mbona anatema sana madini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sugu moto chini,,FA ni mwanamziki mzuri tu
Ana kipaji Cha utunzi Ila ni snitch kitambo sana muulizeni Sugu anajua[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ye na Ay waendeleee tu biashara zaoFA ni mwanamziki mzuri tu
Ana kipaji Cha utunzi Ila ni snitch kitambo sana muulizeni Sugu anajua[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwana FA aliingilia bifu ya Jide aka Komando na Clouds,,
Kama iyo haitoshi akaja tena kujichanganya kwa Mr II ktk zile harakat za Kinega,,
Hii game watu kama nyie mlioanza kufatilia mzik miaka ile huwa mnaenjoy sana hizi drama [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi kile East Coast team si unakumbuka panch line zake,, anajua kugeuza maneno ana utajiri wa maneno ya shombo,, sasa akikutana na Wanaharakati kama Joseph Mbilinyi hawawezi kukaa chungu kimoja,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kabisaa.
Sijui ana shida gani huyu kijana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu imagine eti mtu ameenda south jtatu na j4 amerudi[emoji23][emoji23][emoji119]Kipindi kile East Coast team si unakumbuka panch line zake,, anajua kugeuza maneno ana utajiri wa maneno ya shombo,, sasa akikutana na Wanaharakati kama Joseph Mbilinyi hawawezi kukaa chungu kimoja,,
Ukimchukua Madee na FA ndo wanawezana hao,,
Game ilishabadilika ushabiki tuliokuwa nao enzi zile tofauti na wa sasa,
Ni ngumu mzik anaoimba yeye au Ay ukakubalika na kizazi cha sasa kinachohitaji malove mda wote. Enz zao zishapita wakubali tu,,
Wenzao wapo mjengoni huko wakina Prof J,
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa siku hizi kawa mkuda kweli sijui kwa nn[emoji23]Mwana fa aonyeshe entry stamp ya SA na ticket kaenda lini SA na kurudi maana Jumamosi alikuwepo kwenye uzinduzi wa Afroeast ya Konde boy