Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kwani TBC Haipo Azam
TBC ipo kila king'amuziIna maana kwa mimi Mtanzania mwenye kisimbusi cha Azam ndo basi kombe la Dunia Qatar 2022 sipelekwi? Wadau sisi hatutaweza ona hata nusu ya matches? Nimeulizwa hayo maswali sikuweza jibu. Nawasifu sana DSTV kwa kweli.
Camera za TBC ni megapixel 5 kama sikoseiAkijibu nambie
Anajitoa AkiliAkijibu nambie
Alokwambia TBC Kapeleka Camera zake Kule Nani.....π Acha WengeCamera za TBC ni megapixel 5 kama sikosei
Naona kuna channel mpya TBC1 HD nahisi ndio ya kombe la dunia, nikataka nishangae waache kuonyesha kishindo cha awamu ya sita waonyeshe mpira, wameweka mpyaAlokwambia TBC Kapeleka Camera zake Kule Nani.....[emoji56] Acha Wenge
Wataonyesha kwa HD?TBC ipo kila king'amuzi
Tuliwaambia kwamba hakuna kama DSTV mkabisha , waswahili wengi wananunua Azam kwa sababu ya local soccer , sinema zetu na kiswahiliIna maana kwa mimi Mtanzania mwenye kisimbusi cha Azam ndo basi kombe la Dunia Qatar 2022 sipelekwi? Wadau sisi hatutaweza ona hata nusu ya matches? Nimeulizwa hayo maswali sikuweza jibu. Nawasifu sana DSTV kwa kweli.
Umewahi kuangalia game za away za Simba au Yanga mashindano ya CAF kupitia Azam?. Megapixel ngapi zile?Alokwambia TBC Kapeleka Camera zake Kule Nani.....π Acha Wenge
Camera za TBC ni megapixel 5 kama sikosei
Hao apoWataonyesha kwa HD?
Nje ya DSTV hakuna uHD wa game ni maigizo tu ya kuangalia jezi ya njano ikishangilia basi Neymar kafunga goli.Hapo ni changamoto
Nimecheka mpk nimekua frastruated π π π π π π π π π π π πNje ya DSTV hakuna uHD wa game ni maigizo tu ya kuangalia jezi ya njano ikishangilia basi Neymar kafunga goli.
Akijibu nambie
Wananchi wanalalamika TBC IMEPOTEA GAFLA AZAM TVAzam ataonesha kupitia zbc2 lakini hawezi kutangaza kuwa ataonesha..ana enda kimya kimya