Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mkuu wakionesha utatuambiaAzam ataonesha kupitia zbc2 lakini hawezi kutangaza kuwa ataonesha..ana enda kimya kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wakionesha utatuambiaAzam ataonesha kupitia zbc2 lakini hawezi kutangaza kuwa ataonesha..ana enda kimya kimya
Mbona tupo na Dr. Leakey live TBC 1 MKUU pitia kisumbusi cha Azam
azam tunacheki fresh tuuTuliwaambia kwamba hakuna kama DSTV mkabisha , waswahili wengi wananunua Azam kwa sababu ya local soccer , sinema zetu na kiswahili
Kachungulie hiyo HD yake utarudi na jibu.Alokwambia TBC Kapeleka Camera zake Kule Nani.....[emoji56] Acha Wenge
Baada ya kesho urudi tenaazam tunacheki fresh tuu
Kibongobongo huku ndo pesa iliko.Tuliwaambia kwamba hakuna kama DSTV mkabisha , waswahili wengi wananunua Azam kwa sababu ya local soccer , sinema zetu na kiswahili
Kwani Karia anasemaje?Ina maana kwa mimi Mtanzania mwenye kisimbusi cha Azam ndo basi kombe la Dunia Qatar 2022 sipelekwi? Wadau sisi hatutaweza ona hata nusu ya matches? Nimeulizwa hayo maswali sikuweza jibu. Nawasifu sana DSTV kwa kweli.