Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DU; kwamba hata wewe huwaamini wanawake wenzio?Tatizo NATO inaongozwa na mwanamke. Yaani yule mama ni kilaza mno wa siasa za Russia.
Mkuu angalia moto huo russia anavyopata kibano hiyo meli ya urusi ikiwa bandarin Kiyv, hapa ndio kuna sindano ya makalio, Ukraine sasa wanashambulia baada ya kujilinda, hili ni anguko kubwa la putini na aila zakeRussia ni baba lao. Kwa sasa itabidi ulaya wabane makalio watulie sindano iingie vizuri.
Bandari ya Kyiv hapo UKRAINE amaMkuu angalia moto huo russia anavyopata kibano hiyo meli ya urusi ikiwa bandarin Kiyv, hapa ndio kuna sindano ya makalio, Ukraine sasa wanashambulia baada ya kujilinda, hili ni anguko kubwa la putini na aila zake
View attachment 2163822
Na hao Russia na wawo waliamini hivyo hivyo shughuli imeisha wakaenda kupaki meli yao ya kivita hapo, dukani hatumwi mtotoBandari ya Kyiv hapo UKRAINE ama
Kama kweli jamaa anapaki mpaka meli zake hapo basi shughuli ishakwisha hii nisuala la muda tuu
RUSSIA sio ZIMBABWEE
Mwanamke gani huyo? Stoltenberg ni mwanamke?Tatizo NATO inaongozwa na mwanamke. Yaani yule mama ni kilaza mno wa siasa za Russia.
Mzigo mpya umeingia juziMambo ya chanjo yameisha?
Kumbe Kiyv kuna Bandari.Mkuu angalia moto huo russia anavyopata kibano hiyo meli ya urusi ikiwa bandarin Kiyv, hapa ndio kuna sindano ya makalio, Ukraine sasa wanashambulia baada ya kujilinda, hili ni anguko kubwa la putini na aila zake
View attachment 2163822
Gas ulaya ni muhimu si kama bongo mnapikia,kipindi cha baridi huwezi ishi ulaya bila gas,kwenye magar nk,hii mambo yenu yakupikia gas ni sawa lakini sio muhimu kuliko hayo matuz mengineHapo watanzania turuhusiwe ku export kuni na mkaa. Fursa hii, hii nchi tuliambiwa ni Tajiri sanaa
Walidhani washaiteka Kiev sasa hicho ndicho kilichotokea, wamerudishw nyuma 100kilometers, sasa ukraine anashambulia, putin anafkiria nuclear tu ground ameshindwaKumbe Kiyv kuna Bandari.
Kama hakuna ilifikaje hapo au Warusi walienda kui assemble hapo hapo?
Waacha we😄😄“This is not Russia’s war. This is a military crime by an unelected, unaccountable, authoritarian, and frankly increasingly deranged dictator.”
Mambo magumu mwanangu, huku Buza Chapati nne unamaliza na wala chai haiishi.Waacha we[emoji1][emoji1]
Mkuu angalia moto huo russia anavyopata kibano hiyo meli ya urusi ikiwa bandarin Kiyv, hapa ndio kuna sindano ya makalio, Ukraine sasa wanashambulia baada ya kujilinda, hili ni anguko kubwa la putini na aila zake
View attachment 2163822
The man of the match. Ila dunianina wababe huyu jamaa ni mbabe kweli...Putin Ni Kama maji.
Usipomywa, utamuoga[emoji12]View attachment 2135354
Akikujibu nishtue mkuuMkuu au Mimi mgeni. Kyiv bandari ipo? Na inaendeshwa kutoka ziwa gani au bahari gani?