stineriga
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 2,172
- 887
yani nanusa harufu ya rushwa wazi wazi, japo sina ushahidi. Babu Sepp Blater wala hana haya atakuwa kavuta milions kadhaa, wajumbe wa bodi ya FIFA nao watakuwa wanakenua tu akaunti zao zitakuwa zinasoma 000,000s kadhaa! Kweli pesa ni mbaya ulaya nao wameufyata?!
yani ratiba za michezo yoote duniani ibadilike kisa QATAR kuandaa kombe la Dunia ? Kwani ni lazima hilo kombe la Dunia lichezwe QATAR ?
Hivi ingekuwa ni kanch fulani kamaskin kanch ka afrika au latin amerika ndio kamepata complications kama za QATAR si ingepokwa tu fwasta na nch nyngne kupewa iandae ?
shikamoo rushwa!
yani ratiba za michezo yoote duniani ibadilike kisa QATAR kuandaa kombe la Dunia ? Kwani ni lazima hilo kombe la Dunia lichezwe QATAR ?
Hivi ingekuwa ni kanch fulani kamaskin kanch ka afrika au latin amerika ndio kamepata complications kama za QATAR si ingepokwa tu fwasta na nch nyngne kupewa iandae ?
shikamoo rushwa!