Qatar nchi isiyo na maskini duniani,Je wanatheolojia wanatuficha baadhi ya taarifa?

Qatar nchi isiyo na maskini duniani,Je wanatheolojia wanatuficha baadhi ya taarifa?

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Ninaposoma baraka za Ibrahim,naona wazi kabisa kama vile wapo watu wanaofurahia nchi ya maziwa na asali.

Nikiangalia nchi hii ya Qatar imebarikiwa na chemi chemi ya mafuta kiasi kwamba hata mtu asiye na ajira wala kazi analipwa na serikali dola 2000 kila mwezi.

Watu hawalipii matibabu,mtu anaita ambulance inakuja jumchukua nyumbani,akihitaji rufaa nje ya nchi kuna Air ambulance inalipiwa na serikali.

Watu walioajiriwa serikalini wanafanya kazi masaa matatu tu kwa siku.

Muda mwingi wanautumia kwa burudani,kuendesha magari makali na michezo ya kifahari.
Hii ni nchi iliyojaa maziwa na asali.

Wanatheolojia,maandiko yanasena nini kuhusiana na nchi kama hii?Je ni kweli maandiko yalinyamaza kabisa au wanatheolojia ndio wamenyamaza?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Ninaposoma baraka za Ibrahim,naona wazi kabisa kama vile wapo watu wanaofurahia nchi ya maziwa na asali.

Nikiangalia nchi hii ya Qatar imebarikiwa na chemi chemi ya mafuta kiasi kwamba hata mtu asiye na ajira wala kazi analipwa na serikali dola 2000 kila mwezi.

Watu hawalipii matibabu,mtu anaita ambulance inakuja jumchukua nyumbani,akihitaji rufaa nje ya nchi kuna Air ambulance inalipiwa na serikali.

Watu walioajiriwa serikalini wanafanya kazi masaa matatu tu kwa siku.

Muda mwingi wanautumia kwa burudani,kuendesha magari makali na michezo ya kifahari.
Hii ni nchi iliyojaa maziwa na asali.

Wanatheolojia,maandiko yanasena nini kuhusiana na nchi kama hii?Je ni kweli maandiko yalinyamaza kabisa au wanatheolojia ndio wamenyamaza?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huo upupu wa elimu ya theologia kusomea ngano za kale za mashariki ya kati zinahusiana nini na biashara ya nchi ambayo ni mzalishaji mkubwa wa gesi asilia duniani....
 
Ninaposoma baraka za Ibrahim,naona wazi kabisa kama vile wapo watu wanaofurahia nchi ya maziwa na asali.

Nikiangalia nchi hii ya Qatar imebarikiwa na chemi chemi ya mafuta kiasi kwamba hata mtu asiye na ajira wala kazi analipwa na serikali dola 2000 kila mwezi.

Watu hawalipii matibabu,mtu anaita ambulance inakuja jumchukua nyumbani,akihitaji rufaa nje ya nchi kuna Air ambulance inalipiwa na serikali.

Watu walioajiriwa serikalini wanafanya kazi masaa matatu tu kwa siku.

Muda mwingi wanautumia kwa burudani,kuendesha magari makali na michezo ya kifahari.
Hii ni nchi iliyojaa maziwa na asali.

Wanatheolojia,maandiko yanasena nini kuhusiana na nchi kama hii?Je ni kweli maandiko yalinyamaza kabisa au wanatheolojia ndio wamenyamaza?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mwanzo 17:20 Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.
 
Inakuwaje wanahitaji matibabu nje ya nchi ya maziwa na asali? ACHA UJINGA FALA WEWE ....
 
Ninaposoma baraka za Ibrahim,naona wazi kabisa kama vile wapo watu wanaofurahia nchi ya maziwa na asali.

Nikiangalia nchi hii ya Qatar imebarikiwa na chemi chemi ya mafuta kiasi kwamba hata mtu asiye na ajira wala kazi analipwa na serikali dola 2000 kila mwezi.

Watu hawalipii matibabu,mtu anaita ambulance inakuja jumchukua nyumbani,akihitaji rufaa nje ya nchi kuna Air ambulance inalipiwa na serikali.

Watu walioajiriwa serikalini wanafanya kazi masaa matatu tu kwa siku.

Muda mwingi wanautumia kwa burudani,kuendesha magari makali na michezo ya kifahari.
Hii ni nchi iliyojaa maziwa na asali.

Wanatheolojia,maandiko yanasena nini kuhusiana na nchi kama hii?Je ni kweli maandiko yalinyamaza kabisa au wanatheolojia ndio wamenyamaza?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kabisa
Hata Brunei.....Halafu sura zao wengi wanamuelekeo wa ile picha ya kale ya Yesu.
 
Kataa demokrasia ,kikubwa mpate kiongozi mmoja ,mzalendo akae madarakani, hakuna mambo ya uchaguzi wala vyama vya siasa ,hapo lazima mfanikiwe.

Mijadala ya siasa ni utapeli haina faida.
 
Wana pesa kama uchafu kwenye Worldcup walijenga baadhi ya viwanja kwa gharama kubwa na baada ya michuano kuisha wameviondoa hivyo viwanja hawana kazi navyo
 
Back
Top Bottom