Qatar nchi isiyo na maskini duniani,Je wanatheolojia wanatuficha baadhi ya taarifa?

Qatar nchi isiyo na maskini duniani,Je wanatheolojia wanatuficha baadhi ya taarifa?

Kataa demokrasia ,kikubwa mpate kiongozi mmoja ,mzalendo akae madarakani, hakuna mambo ya uchaguzi wala vyama vya siasa ,hapo lazima mfanikiwe.

Mijadala ya siasa ni utapeli haina faida.
Hiyo falsafa kwa Afrika ya watu weusi haina tija kabisa, huzalisha madikteta, wauaji, mafisadi, uporaji, wizi, hatimaye umaskini uliotopea..

Mifano ni hawa hapa-:
1. Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa za Banga, Zaire.
2. Jean-Bédel Bokassa, Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR),
3. Hastings Kamuzu Banda, Malawi
4. Robert Gabriel Mugabe, Zimbabwe
5. Francisco Macias Nguema, Equatorial Guinea.
6. Idd Amin Dada, Uganda
..nk

Wote hao walijigeuza miungu, yaani watawala wa milele, na hakuna cha maana walichoacha baada ya kufurushwa kwa nguvu au mauti, zaidi ya umaskini wa kutupwa, madeni yasiyolipika, maumivu na shida tele kwa wananchi wao..
 
Tuna uhuru mwaka wa 60+, mkuu wa mkoa anamwambia mama mjamzito kama huna 50k, uende kwa mumeo achukue gloves 🧤 na kisu sijui akuzalishe.
Hii hatari sana mkuu
 
Hiyo falsafa kwa Afrika ya watu weusi haina tija kabisa, huzalisha madikteta, wauaji, mafisadi, uporaji, wizi, hatimaye umaskini uliotopea..

Mifano ni hawa hapa-:
1. Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa za Banga, Zaire.
2. Jean-Bédel Bokassa, Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR),
3. Hastings Kamuzu Banda, Malawi
4. Robert Gabriel Mugabe, Zimbabwe
5. Francisco Macias Nguema, Equatorial Guinea.
6. Idd Amin Dada, Uganda
..nk

Wote hao walijigeuza miungu, yaani watawala wa milele, na hakuna cha maana walichoacha baada ya kufurushwa kwa nguvu au mauti, zaidi ya umaskini wa kutupwa, madeni yasiyolipika, maumivu na shida tele kwa wananchi wao..
Dikteta umemjuaje? Mpaka wazungu walipokuja wakakuaminisha ni madikteta ..Wale machifu wetu nao ni madikteta?

Kuwataja hao sio sawa kwa sababu wanaongoza kwa mfumo ambao si asilia ni kutoka nje.
 
Back
Top Bottom