#COVID19 Qatar yasema watakaopata Chanjo pekee ndio wataruhusiwa kushuhudia Kombe la Dunia

#COVID19 Qatar yasema watakaopata Chanjo pekee ndio wataruhusiwa kushuhudia Kombe la Dunia

Ni lazima walinde raia wao COVID-19 ni tishio kubwa sana .
Mkuu umethibitisha kwamba covid 19 ni tishio kubwa sana ... au unanukuu vyombo vya habari vya nje?
 
Kwani huoni uchumi wa dunia ulivyoanguka na mamilioni ya waajiriwa katika nchi mbali mbali kupoteza ajira zao na biashara nyingi kufungwa!?
Mkuu umethibitisha kwamba covid 19 ni tishio kubwa sana ... au unanukuu vyombo vya habari vya nje?
 
Watu wanapokea 666 pasipokujua, ni hatari sana

Hii inshu imeanza kama option kwa sasa ila amini kwamba huko mbeleni wasiopigwa chanjo watatengwa, hawataruhusiwa kufanya chochote wala kwenda popote na ndio maana halisi ya 666 na mwisho ni kifo.

Wacha leo tuone kama mzaha mzaha tu
 
Kwani huoni uchumi wa dunia ulivyoanguka na mamilioni ya waajiriwa katika nchi mbali mbali kupoteza ajira zao na biashara nyingi kufungwa!?
Naona waliweka lockdown, kila ukifungua habari una sikia hayo hayo tu pamoja na kuwajaza qatu hofu na vitisho..

Kiufupi haya mambo yanachanganya sana , na yapo nke ya uwezo wetu, wenye fedha waniendesha dunia watakavyo!!
 
Hii inshu imeanza kama option kwa sasa ila amini kwamba huko mbeleni wasiopigwa chanjo watatengwa, hawataruhusiwa kufanya chochote wala kwenda popote na ndio maana halisi ya 666 na mwisho ni kifo.

Wacha leo tuone kama mzaha mzaha tu
Ni kwamba huu ugonjwa ulianzishwa kwa madhumuno hayo au madhumuni ni biashara ya chanjo??
 
Hakuna kuendesha dunia watakavyo. Unadhani ni nchi ipi itakubali kuona raia wake 5,000 wanakufa Kwa siku Kwa ugonjwa walioupata siku chache tu halafu wasichukue hatua zozote kupambana?
Naona waliweka lockdown, kila ukifungua habari una sikia hayo hayo tu pamoja na kuwajaza qatu hofu na vitisho..

Kiufupi haya mambo yanachanganya sana , na yapo nke ya uwezo wetu, wenye fedha waniendesha dunia watakavyo!!
 
Hakuna kuendesha dunia watakavyo. Unadhani ni nchi ipi itakubali kuona raia wake 5,000 wanakufa Kwa siku Kwa ugonjwa walioupata siku chache tu halafu wasichukue hatua zozote kupambana?
Sawa mkuu ngoja wajikinge
 
Saudia walitangaza kama hivyo kwa wanaotaka kwenda kuhiji ila sijui wakaonaje tena sasa sijui na hawa itakuaje?
 
Ngoja tuone...

Chanjo moja US$600 na unatakiwa upate mbili...
 
Nimejaribu kufikiria naona maneno ya bishop gwajima kama ni kweli hivi. Anyway ngoja tusubiri muda ufike
 
Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Khalid bin Khalifa bin Abdulaziz Al Thani, amesema watu waliopata Chanjo dhidi ya COVID19 pekee ndio wataruhusiwa kushuhudia Kombe la Dunia mwaka 2022.

Taifa hilo limesema lipo katika majadiliano ili kupata Dozi Milioni 1 ili kutoa Chanjo kwa baadhi ya watu watakaoenda Qatar.

Licha ya kwamba inatarajiwa Mataifa mengi yatakuwa yamechanja Raia wake hadi kufikia mwakani, Qatar imesisitiza itaendelea kuchukua hatua ili michuano hiyo ifanyike kwa mafanikio.

=======

Qatar will only allow people fully vaccinated against COVID-19 to attend next year's World Cup and is in talks to secure one million doses in case global immunisation efforts lag, the prime minister said.

The Gulf Arab state hosts the four-week tournament in November 2022 and the president of global soccer body FIFA has said the matches would be held in full stadiums.

Prime Minister Sheikh Khalid bin Khalifa bin Abdulaziz Al Thani told newspapers that while most countries were expected to have vaccinated their citizens by then, Qatar was still taking measures to ensure a successful event.

"We are currently negotiating with a company to provide one million doses of COVID-19 vaccines in order to immunize and vaccinate some of those coming to Qatar," he said in remarks also carried by state news agency QNA late on Sunday, without identifying the firm.

It was not immediately clear how those vaccines would be offered. Most coronavirus vaccines require two doses administered weeks apart.

Qatari officials had earlier said they hoped to hold a coronavirus-free tournament and planned to make vaccinations available to attendees not already immunized.

Qatar is inoculating its citizens and residents with the Pfizer-BioNTech and Moderna vaccines. It has administered at least 2.8 million doses, enough to vaccinate about 50.8% of its population, according to a Reuters COVID-19 tracker.

Sheikh Khalid said the 2021 Arab Cup, which Doha is hosting in December, would reflect Qatar's preparedness to host major tournaments.

He said a large number of stadiums had been completed and work continued on three stadiums including Lusail Stadium, which will host the final match of World Cup 2022 and was now 90% complete.

Source: Reuters
Asante Kiongozi
 
Back
Top Bottom