6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,562
- 3,028
Mkuu umethibitisha kwamba covid 19 ni tishio kubwa sana ... au unanukuu vyombo vya habari vya nje?Ni lazima walinde raia wao COVID-19 ni tishio kubwa sana .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umethibitisha kwamba covid 19 ni tishio kubwa sana ... au unanukuu vyombo vya habari vya nje?Ni lazima walinde raia wao COVID-19 ni tishio kubwa sana .
Mkuu umethibitisha kwamba covid 19 ni tishio kubwa sana ... au unanukuu vyombo vya habari vya nje?
Watu wanapokea 666 pasipokujua, ni hatari sana
Naona waliweka lockdown, kila ukifungua habari una sikia hayo hayo tu pamoja na kuwajaza qatu hofu na vitisho..Kwani huoni uchumi wa dunia ulivyoanguka na mamilioni ya waajiriwa katika nchi mbali mbali kupoteza ajira zao na biashara nyingi kufungwa!?
Ni kwamba huu ugonjwa ulianzishwa kwa madhumuno hayo au madhumuni ni biashara ya chanjo??Hii inshu imeanza kama option kwa sasa ila amini kwamba huko mbeleni wasiopigwa chanjo watatengwa, hawataruhusiwa kufanya chochote wala kwenda popote na ndio maana halisi ya 666 na mwisho ni kifo.
Wacha leo tuone kama mzaha mzaha tu
Naona waliweka lockdown, kila ukifungua habari una sikia hayo hayo tu pamoja na kuwajaza qatu hofu na vitisho..
Kiufupi haya mambo yanachanganya sana , na yapo nke ya uwezo wetu, wenye fedha waniendesha dunia watakavyo!!
Sawa mkuu ngoja wajikingeHakuna kuendesha dunia watakavyo. Unadhani ni nchi ipi itakubali kuona raia wake 5,000 wanakufa Kwa siku Kwa ugonjwa walioupata siku chache tu halafu wasichukue hatua zozote kupambana?
Ujinga wako utakuua kama HamnazoWatu wanapokea 666 pasipokujua, ni hatari sana
Asante KiongoziWaziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Khalid bin Khalifa bin Abdulaziz Al Thani, amesema watu waliopata Chanjo dhidi ya COVID19 pekee ndio wataruhusiwa kushuhudia Kombe la Dunia mwaka 2022.
Taifa hilo limesema lipo katika majadiliano ili kupata Dozi Milioni 1 ili kutoa Chanjo kwa baadhi ya watu watakaoenda Qatar.
Licha ya kwamba inatarajiwa Mataifa mengi yatakuwa yamechanja Raia wake hadi kufikia mwakani, Qatar imesisitiza itaendelea kuchukua hatua ili michuano hiyo ifanyike kwa mafanikio.
=======
Qatar will only allow people fully vaccinated against COVID-19 to attend next year's World Cup and is in talks to secure one million doses in case global immunisation efforts lag, the prime minister said.
The Gulf Arab state hosts the four-week tournament in November 2022 and the president of global soccer body FIFA has said the matches would be held in full stadiums.
Prime Minister Sheikh Khalid bin Khalifa bin Abdulaziz Al Thani told newspapers that while most countries were expected to have vaccinated their citizens by then, Qatar was still taking measures to ensure a successful event.
"We are currently negotiating with a company to provide one million doses of COVID-19 vaccines in order to immunize and vaccinate some of those coming to Qatar," he said in remarks also carried by state news agency QNA late on Sunday, without identifying the firm.
It was not immediately clear how those vaccines would be offered. Most coronavirus vaccines require two doses administered weeks apart.
Qatari officials had earlier said they hoped to hold a coronavirus-free tournament and planned to make vaccinations available to attendees not already immunized.
Qatar is inoculating its citizens and residents with the Pfizer-BioNTech and Moderna vaccines. It has administered at least 2.8 million doses, enough to vaccinate about 50.8% of its population, according to a Reuters COVID-19 tracker.
Sheikh Khalid said the 2021 Arab Cup, which Doha is hosting in December, would reflect Qatar's preparedness to host major tournaments.
He said a large number of stadiums had been completed and work continued on three stadiums including Lusail Stadium, which will host the final match of World Cup 2022 and was now 90% complete.
Source: Reuters