Qatar yatajwa kuwa na GDP kubwa Asia Magharibi

Qatar yatajwa kuwa na GDP kubwa Asia Magharibi

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
426
Reaction score
685
1655875365436.png
 
Kiuhalisia bila kupendelea, ukiulizwa nchi ya kwanza kwa utajiri na GDP kubwa duniani ni hako kanchi kadogo. Nilifikiria ni Marekani kumbe sivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliona maandalizi ya kombe la Dunia hapo kwao, jamaa wana pesa. Halafu population yao ni million 2.
 
Kiuhalisia bila kupendelea, ukiulizwa nchi ya kwanza kwa utajiri na GDP kubwa duniani ni hako kanchi kadogo. Nilifikiria ni Marekani kumbe sivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni per capital (pato la ndani la taifa gawanya kwa wananchi wote)

Kuna utofauti kati ya gdp (ambayo ni pato la ndani la taifa) na gdp per capital (ambayo ni pato la ndani la taifa gawanya kwa kila kichwa/ wananchi wote)

Sioni mfano wenye urahisi kukuelewesha nadhani mamlaka husika inatakiwa kuongeza vifupi vya maneno ya kiuchumi ili kusaidia kuachana na lugha hizi za kigeni
 
Back
Top Bottom