Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Nchi ya Qatar ambayo ndio mwenyeji wa Mashindano ya Kombe la Dunia mwaka 2022 wameamua kutengeneza uwanja wa Mpira wa miguu ambao umetengenezwa kwa kutumia makontena.
Qatar imefikia uamuzi huo ili kuwezesha Kombe la Dunia kuchezwa katika uwanja huo na baada ya Kombe la Dunia la mwaka huo wa 2022 kuchezwa uwanja huo utasambalatishwa ili shughuli zingine ziendelee.
Uwanja huo utachukua Zaidi ya mashabiki 40,000 na utakuwa na sifa zote za kuwa uwanja wenye vigezo kuchezewa Kombe hilo. Makontena hayo yatapangwa chini na uwanja utakuwa juu ya makontena.
View attachment 2030673
View attachment 2030674
View attachment 2030675
View attachment 2030676
Qatar imefikia uamuzi huo ili kuwezesha Kombe la Dunia kuchezwa katika uwanja huo na baada ya Kombe la Dunia la mwaka huo wa 2022 kuchezwa uwanja huo utasambalatishwa ili shughuli zingine ziendelee.
Uwanja huo utachukua Zaidi ya mashabiki 40,000 na utakuwa na sifa zote za kuwa uwanja wenye vigezo kuchezewa Kombe hilo. Makontena hayo yatapangwa chini na uwanja utakuwa juu ya makontena.
View attachment 2030673
View attachment 2030674
View attachment 2030675
View attachment 2030676