Habari zenu wasomi? Mimi niliwahi kusoma hii elimu ya sekondar ya miaka 2 yaan QT. Nilisoma mwaka 1, nilipofanya mtihan wa form2 majibu yalipotoka nikawa nimafaulu ila nilishindw kuendelea kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.....
Kuanza upya tena!