Quad bike zinaruhusiwa kisheria kutumika kwenye barabara za Tanzania

Quad bike zinaruhusiwa kisheria kutumika kwenye barabara za Tanzania

ipyax

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
4,247
Reaction score
6,578
Wadau naomba kuuliza kama quad bikes zinaruhusiwa kisheria kutumika kama chombo cha usafiri Tanzania.
Screenshot_20200811_003808.jpg
 
Fuata Masharti Na Vigezo, Yaani Uwe Driving Licence
Unaendesha Tu
 
Naziona zipo kwa uchache sana lakini
Nahisi wabongo hawajshtukia kwamba quad bike inaweza tumika kama chombo cha usafiri wa kila siku lakini pia bei ziko juu kidogo kwa brands kubwa kama Yamaha, Honda.
 
Nahisi wabongo hawajshtukia kwamba quad bike inaweza tumika kama chombo cha usafiri wa kila siku lakini pia bei ziko juu kidogo kwa brands kubwa kama Yamaha, Honda.
Zinaruhusiwa...

Quad mzigo tu....bora pikipiki kuliko quadbike...uendeshaji na inakula mafuta kuizidi pikipiki.

Hiyo raha yake uwe unaendesha kwa hobby tu sio usafiri wa kila siku.

Nchi gani wanazitumia kama usafiri wa kila siku?
 
Zinaruhusiwa...

Quad mzigo tu....bora pikipiki kuliko quadbike...uendeshaji na inakula mafuta kuizidi pikipiki.

Hiyo raha yake uwe unaendesha kwa hobby tu sio usafiri wa kila siku.

Nchi gani wanazitumia kama usafiri wa kila siku?
Sijajua lakini kama nikiwa dar naona kuendesha piki piki ni risky kuliko nikitumia four wheeler (quad bike). Pia ni cheap kuihudumia kuliko Gari[emoji29]
 
Sijajua lakini kama nikiwa dar naona kuendesha piki piki ni risky kuliko nikitumia four wheeler (quad bike). Pia ni cheap kuihudumia kuliko Gari[emoji29]
Yaani ukiitumia kama usafiri kila siku ukifika nyumbani utakuwa umechoka hatari. Ukizingatia ni mwanamke.

Na za bei ya kawaida zina cc ndogo saana. Ukitaka ya cc kubwa unaona afadhali ninunue gari.
 
Yaani ukiitumia kama usafiri kila siku ukifika nyumbani utakuwa umechoka hatari. Ukizingatia ni mwanamke.

Na za bei ya kawaida zina cc ndogo saana. Ukitaka ya cc kubwa unaona afadhali ninunue gari.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],picha tu hiyo chief.
 
Back
Top Bottom