Quad bike zinaruhusiwa kisheria kutumika kwenye barabara za Tanzania

Quad bike zinaruhusiwa kisheria kutumika kwenye barabara za Tanzania

Unaruhusiwa kuitumia, kwa Tanzania watu wachache wanazo.

Ukiwa nayo hiyo ni salama na ulaji wa mafuta kwa injini za 250-450cc ni kawaida sana.
Quad bike za kisasa zinatumia electric fuel injection sio carburetor na sio nzito kama watu wanavyozani kwa kuona tyre 4.
 
Unaruhusiwa kuitumia, kwa Tanzania watu wachache wanazo.

Ukiwa nayo hiyo ni salama na ulaji wa mafuta kwa injini za 250-450cc ni kawaida sana.
Quad bike za kisasa zinatumia electric fuel injection sio carburetor na sio nzito kama watu wanavyozani kwa kuona tyre 4.
Shukran chief.
 
Shukran chief.
Mkuu usiogope maneno ya watu, hiyo quad bike ya kisasa ina suspension nzuri huchoki na kwenye accelerate unatumia button ili kuongeza usalama pale unapokata kona ili usijekuleta mistake ya chombo kujilesi.

Hiyo foleni hautokaa sana, utakuwa na uwezo wa kutanua kama pikipiki. Quad bike hizo tyre za mbele unainua pale unapopita au kutanua kwenye blocks mfano zile za mwendo kasi.
 
Zinaruhusiwa...

Quad mzigo tu....bora pikipiki kuliko quadbike...uendeshaji na inakula mafuta kuizidi pikipiki.

Hiyo raha yake uwe unaendesha kwa hobby tu sio usafiri wa kila siku.

Nchi gani wanazitumia kama usafiri wa kila siku?

Haiwezi kuwa sababu ziko piki piki zinakula wese utazan kagari kadogo hapo napo unasemaje au wewe ukisema piki piki unawaza TVs
 
Haiwezi kuwa sababu ziko piki piki zinakula wese utazan kagari kadogo hapo napo unasemaje au wewe ukisema piki piki unawaza TVs
Pikipiki options zipo nyingi mkuu.
 
Back
Top Bottom