Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
- #21
20000 km in that shithole country of urs?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
20000 km in that shithole country of urs?
Taarifa kutoka tanroad wakala wa barabara infact utake usitake ukweli utabaki kua huoAnybody anaezaandika gazeti so spare me your madness. In case you are one of the doubting Thomases watch this hadi mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali halisi.Taarifa kutoka tanroad wakala wa barabara infact utake usitake ukweli utabaki kua huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kukubali nimemuuliza wapi paved roads hapo Nairobi, kakaa kimya!Haya hiioooView attachment 1399730
Hawezi kukubali nimemuuliza wapi paved roads hapo Nairobi, kakaa kimya!
Hayo majiji utakuwa unayacheki kwenye TV...Nairobi haiwezi shindana hata na Durban.. Itoe sauzi hapo,hapa ni tz na kny....Halafu Mombasa ni ya kushindana na kina Zanzibar na Mwanza huko.Jo'burg ligi ya Nairobi bro.
Dark Es Sluum ligi ya Mombasa.
Sijui nifunzee nyie kila kitu cha tz si mwakijuaa
Mamaeee iti 7% unaumwaa ww sio mzimaaa Njombe to dar km 700+ ni lami mwanzo mwisho dar to sumbawanga ni km11500 ni lamii tuuu izo ailimia 7 ni vp mzeee acha kupotosha komaa na nchi yakoo
Durban, Nairobi, Johannesburg, Pretoria, Capetown, Cairo, Rabat, Tunis, lagos na Algiers ni ligi moja.Hayo majiji utakuwa unayacheki kwenye TV...Nairobi haiwezi shindana hata na Durban.. Itoe sauzi hapo,hapa ni tz na kny....Halafu Mombasa ni ya kushindana na kina Zanzibar na Mwanza huko.
Wewe inaonekana umezaliwa kibera ukakulia hapo na hujawahi toka nje ya hapo....rudi kwenye mada sasaDurban, Nairobi, Johannesburg, Pretoria, Capetown, Cairo, Rabat, Tunis, lagos na Algiers ni ligi moja.
Dark Es Sluum, Mombasa, Kampala, Kigali, Maputo, lilongwe, Lusaka, Addis Ababa na Accra ni ligi moja.
Mwanza, Mandera, Garrisa, Isiolo, Dodoma, Arusha, Bujumbura, Mogadishu, Morogoro and other villages ni ligi moja.
Mombasa 17km dual carriagewayWewe inaonekana umezaliwa kibera ukakulia hapo na hujawahi toka nje ya hapo....rudi kwenye mada sasa
Ati unasemaa?Mombasa 17km dual carriageway
View attachment 1399897
Dark Es Sluum
Nionyeshe dual carriageway Tz zaidi ya Km16
View attachment 1399898
Tupo kwenye mada Sasa? 😁
Hamna dual carriageway ya maana Tz.Ati unasemaa?
Miji yote mikubwa huku ina dual carriageway za maana.Hamna dual carriageway ya maana Tz.
Weka Kama hiiMiji yote mikubwa huku ina dual carriageway za maana.
Pole sanaWeka Kama hii
View attachment 1400712