QUANTUM IMMOTALITY: Nadharia ya kukwepa kifo. Je, ni kweli Rais wa urusi PUTIN anaishi milele?

Si Putin pekee, mwanadamu yeyote anaishi milele.

Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na amevaa VAZI linaloitwa Mwili.

Kufa ni kubadili form ni kama we ukivuma nguo kwenda kuoga, nguo hazitakuwa na uwezo wowote sababu hazina mwili.

Mtu alikuwapo Kwa Mungu kabla ya kuingia ktk mwili na Kuzaliwa.

Amen
 
Sawasawa mkuu
 
Mada za huku huwa hazieleweki. Mleta mada tunategemea utoe udadavuzi ila nawe unakuwa kama hadhira tu
 
Hata wao sizani kma wanajua ulichokizungumzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ