QUANTUM IMMOTALITY: Nadharia ya kukwepa kifo. Je, ni kweli Rais wa urusi PUTIN anaishi milele?

QUANTUM IMMOTALITY: Nadharia ya kukwepa kifo. Je, ni kweli Rais wa urusi PUTIN anaishi milele?

Ndio maana kuna kitu africa wanaita mzimu.Nguvu inayoishi dahari na dahari, isiyokwisha na wanaoteuliwa wanaiendeleza.Dini imetupotezea vingi.
 
kwa mimi ninavyofahamu kuwa , roho ya binadamu ndo inayojua kila jambo unalolitaka, la hata lisaa limoja baadae, ina majibu na maswali yote unayojiuliza, yaan kwa kifupi ina kila kitu ila sasa binadamu tumepotezwa tunaaminishwa kuwa akili zetu au bongo zetu ni kila kitu, na kuwa zinauwezo mkubwa kuliko ila ni big no, mifumo ya elimu ya dunia,ma vyombo ya habari yanatuondolewa uwezo wa kuisikia roho yetu inasema nn, so tunazidi kujiwekea ukuta ya kusikia roho zetu zinataka nn.
Sawa mkui watu wanatulazimisha kwamba ubongo ndo kila kitu, wakati ulitazama kwa makini MACHO NDO KIBOKO YAO.Na wajuao wanakwambia haswa likifunguka la tatu..
 
Pharrell williams ni imortal yule mshikaji hazeeki ina maana hawezi kufa
 
Putin atakufa keshokutwa tu tutamzika.
QUANTUM IMMOTALITY

Wasaalam

kuna mtaalamu alipata kusema
"UBONGO WA MWANADAMU HAUJAWAHI KUWAZA KITU AMBACHO HAKIPO AU HAKIJAWAHI kuwahi KUWEZEKANA AU KUJA KUWEZEKANA"

kama hujanielewa kwenye nukuu hiyo utakuja na maswali mengi kwenye baadhi ya vipengele huko chini.

Tumejifunza vingi sana kuhusu maisha na vilivyo nyuma ya maisha ya kawaida

Na WAKATI MWINGINE inatakiwa tukubali kuwa kuna NGUVU nyingine inayoendesha na kutawala hii dunia yetu tofauti na ubidamu

Wazungu wamekuwa na michezo ya kutuchezea bongo zetu ,,,,kwa namna mbalimbali na kwa mambo ambayo hatukuwahi hata kuyafikiria

Dan Brown mwandishi nguli wa Vitabu vya fiction alipata kusema fiction nyingi huwa zinapenyeza ujumbe ulojificha

Sasa hapa utaongeza mwenyewe kama utaona kama fiction movies mfano wa movie za marvel nazo ziko kwa njia ya kufurahisha au kuleta na ujumbe pia

Ni wewe na imani zako, kwa sababu imenenwa imani huponya


Vladmir Putin, Raisi wa urusi ni kati ya watu wanaodhaniwa kuwa ni "immortal people" watu wasiokufa

View attachment 1680948
RAISI WA URUSI VLADMIR PUTIN


Ushawahi kusikia nadharia ya QUANTUM IMMORTALITY basi huyu bwana hio nadharia amehusishwa nayo sana

Quantum immortality ni uwezo wa kukwepa kifo hii inahusu uzoefu na uwezo binafsi wa kujua hatari za kifo na kukwepa ni kama inaelezwa pia ni kama kujiua kwa kiasi.

Wazo hili wakati mwingine linafikiriwa kuwa linatumika kwa sababu za ulimwengu ambao sio halisi (huu tuliopo sisi)

Wataalam wengi wanakazia kuwa jaribio au wazo linalohusiana na kukwepa kutokufa halitafanya kazi katika ulimwengu huu wa kweli tuliopo sisi.

Ni vyema ukaenda kwa mtandao kujifunza zaidi kuhusu hio nadharia. (wameelezea hadi namna inavyofanyika)

Watalamu wanoelezea nadharia hii wanasema kuwa watu wa mtindo huu wanauwezo wakutumia asilimia 50% ya ubongo.

ikumbukwe wataalamu wengine pia wana nadharia nyingine isemeyo binadamu wakawaida (yaani mimi na wewe ) tunatumia asilimia 2-1% tu ya uwezo wa bongo zetu

watu ambao wamefanya maajabu makubwa katika ulimwengu kwa gunduzi mbalimbali ,, mfano Albert Eistein, Isaac newton, Hawking na Nikola Tesla inaelezwa ndiyo baadhi waliojaribu kutumia japo aslimia 10%-15% ya bongo zao.

View attachment 1680950
NIKOLA TESLA

View attachment 1680951
SIR ISAAC NEWTON

Nadharia hiyo ilienezwa na mwandishi LOWELL THOMAS ,na kuna movie kadhaa zinaelezea nadharia hii...na zimejaribu kuonesha kama binadamu atatumia asilimia 100% ya ubongo wake mambo yatakuwa vipi

Lakini nadharia hio imepingwa na wanasayansi wengi wakiamin kila mtu ubongo wake unafanya kazi kwa asilimia 100%

Putin anahusishwa na nadharia hii kutokana na matendo mbalimbali ya ajabu ambayo anahusishwa nayo

Hata hivyo picha kadhaa zinamuonyesha na kudhaniwa alikuwepo toka mwaka 1920 na alipigana vita ya pili kama mwanajeshi

View attachment 1680952

Na hili baadhi ya watu ulimwenguni huliamini kutokana na Putin kuwa mwanajeshi kabla.

View attachment 1680953

Hatujui chochote kuhusu hii michezo ya wazungu kama ni ukweli au ni drama

TUNAHITAJI DONDOO ZAIDI ....

karibuni

DA'VINCI XV
 
Why sasa hivi hizi nadharia za watu kuwa cloned zimekuwa nyingi mno? Hata rais wa Nigeria niliona wakisema ni cloned! Na watu maarufu wengi
Naam,
Wengine husema kuna manufaa kwa Vikundi au taasisi zinayofanya hayo... tatizo bado ushahidi wa Moja kwa moja haujapatikana
Ni wengi wanaohusishwa kukumbwa na kadhia hii , Hata Kim wa korea inasemekana upanga huu umemkuta
 
Back
Top Bottom