Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
At least niweza kuwa ndani ya malengo kwa 90%March inaenda kwa speed...je zile resolution tulizojiwekea zinaendaje? Wale wa gym mmeanza? Wale wa diet...beer na nyama choma tumepumzisha? Na zile financial goals vipi? Biashara tumeanzisha au bado team mshahara tu?
Sidhani first quarter wewe umefika 90% ya malengo ya mwaka?😂At least niweza kuwa ndani ya malengo kwa 90%
Daah boss unaamini katika miracles?Huu mwaka sina malengo yoyote, nimemwachia Mungu anisapraizi na baraka zake, nime mfungulia mlango ajichukulie utukufu. Kama malengo nshawekaga sana miaka iliyopita na hayatimii sasa ngoja nione na hii ya sapraizi kutoka juu
Sasa mipango ikifeli si unajaribu na imani pia? Hivi kama mipango ya miaka kibao ipo haitimii unapanga mipya ya nini?Daah boss unaamini katika miracles?
Unabadili njia na unajithamini kwanini ulifeli kutimiza malengo, sometimes kupanga malengo ni Kuji stress bora ufuate maisha yanavyokupeleka...Ila kupanga malengo ni Bora zaidiSasa mipango ikifeli si unajaribu na imani pia? Hivi kama mipango ya miaka kibao ipo haitimii unapanga mipya ya nini?
Huwa yanatimia au unapanga kwasababu unapenda kupanga? Mbona maisha ni yale yale?Unabadili njia na unajithamini kwanini ulifeli kutimiza malengo, sometimes kupanga malengo ni Kuji stress bora ufuate maisha yanavyokupeleka...Ila kupanga malengo ni Bora zaidi
Amen🙏Slow but sure, Mungu aibariki na kuyatia mwanga malengo yetu yakafanikiwe
Kuna malengo ya muda mfupi na muda mrefu haya ya muda mfupi kama kuongeza Mtoto,kuboresha nyumbani kidogo yanatimia, malengo ya muda mrefu ni kizungumkuti kutimiza unaishia kupeleka mbeleHuwa yanatimia au unapanga kwasababu unapenda kupanga? Mbona maisha ni yale yale?
Mazuri mengi uliyonayo hata hikuyapanga, ulijikuta tu umetoboa hivyo bahati ina sehemu yake katika maisha, akili, vipawa, karama bila bahati atahaso sanaKuna malengo ya muda mfupi na muda mrefu haya ya muda mfupi kama kuongeza Mtoto,kuboresha nyumbani kidogo yanatimia, malengo ya muda mrefu ni kizungumkuti kutimiza unaishia kupeleka mbele
[emoji23][emoji23][emoji23] Mambo sio mamboKwakweli mwaka uishe tu, 2024 ndo mwaka wangu[emoji23][emoji23]