Haya maisha binafsi ya watu mnapata wapi muda wa kufuatilia? We umejenga yako? Watu wengine mnakazi ngumu
Wewe ungekua hupendi kufuatilia ya watu humu umekuja kufuata nini mnafiki mkubwa wewe Mxiee tena usinifanye nikuchambe had usahau jinsia yako mbwa wewe
si nilisikia wale ni wahindi hivyo basi haishangazi kurudi kwao na kuishi pamoja.Sio kwake kwao , isiaka karudi kwa wakwe zake , mashauzi yote mtandaon hela hawana mxieew
😂😂Huenda kapanga chumba cha kiza tu lkn anaandama wengine[emoji38][emoji38]
warumi
Sawa upo sahihi kwa akili zako,ila ni ujinga kuanza kufuatilia maisha ya mtu anavyoishi na utabaki kuwa mjinga kama hutabadilika.......akipanga Mbagala,Mbezi au Tandale we inakusaidia nini?Wewe ungekua hupendi kufuatilia ya watu humu umekuja kufuata nini mnafiki mkubwa wewe Mxiee tena usinifanye nikuchambe had usahau jinsia yako mbwa wewe
Umevamua jukwaa jombaa, ukitaka mambo ya uchumi wa kati nenda jukwaa la siasa.Sawa upo sahihi kwa akili zako,ila ni ujinga kuanza kufuatilia maisha ya mtu anavyoishi na utabaki kuwa mjinga kama hutabadilika.......akipanga Mbagala,Mbezi au Tandale we inakusaidia nini?
Warumi katika ubora wake, mbea first class [emoji4]Wewe ungekua hupendi kufuatilia ya watu humu umekuja kufuata nini mnafiki mkubwa wewe Mxiee tena usinifanye nikuchambe had usahau jinsia yako mbwa wewe