warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Kaka ake na umillinare wote huo anashindwa kumlipia dada ake kodi Jaman ? Sasa kufanya 40 ya kifahari yote ile na kumbe kodi anadaiwa ya nini ? .
Kupitia insta Live, Queen darleen ka confirm kurudi kwao na kasema kuwa hawez kuaibika mjini kwa kuwa Mama yake alimuachia nyumba Sinza hvyo kaamua kurudi kwao kutoka mbezi beach alikokua anakaa kwenye ghorofa ambapo ni Karibu na kwa kaka yake Diamond .
Mmh mji mzito huu
Kupitia insta Live, Queen darleen ka confirm kurudi kwao na kasema kuwa hawez kuaibika mjini kwa kuwa Mama yake alimuachia nyumba Sinza hvyo kaamua kurudi kwao kutoka mbezi beach alikokua anakaa kwenye ghorofa ambapo ni Karibu na kwa kaka yake Diamond .
Mmh mji mzito huu