Sawa ndogo sana kama huwezi kuvumilia we anza mbele sio lazima kusoma simuliz za legeUnatafuta bwana sio?
Agongwe mwingine we ukate viuno?
Si angebaki nayo huko huko, kwani zimesomwa ngapi na huku hazijaletwa?
Kuleta story bure isiwe kigezo cha kuleta unavyojisikia.
maneno makali na kauli kali pasipo sababu..laiti kama ungejua au kufaham hata usinge laum kwa kiwango hicho.Unatafuta bwana sio?
Agongwe mwingine we ukate viuno?
Si angebaki nayo huko huko, kwani zimesomwa ngapi na huku hazijaletwa?
Kuleta story bure isiwe kigezo cha kuleta unavyojisikia.
Ahsante mkuu ngoja nijikite huko.Ndo ushakwama ivo mkuu pole sana
Ila tafuta riwaya inaitwa Ufukwe wa Madagascar ipo humu ni nzur sana mm ndo napozea arosto ya Monica huko.
Mkuu haina haja ya kutumia maneno
maneno makali na kauli kali pasipo sababu..laiti kama ungejua au kufaham hata usinge laum kwa kiwango hicho.
Mm nafaham hamu na kiu ya kufuatilia story nzuri hasa inapokatishwa au ishia pazuri lkn bado sijaona kiu hiyo kwako zaidi ya kukosa heshima na busara.huwezi mtukana mtu kisa tuu unatumia ID fake.
Naomba nikupe mfano hai na wakweli. Kuna story moja ilikuwa inatumwa facebook kwenye page ya KONA YA RIWAYA na kuna group moja la whatsapp nalo linaitwa kona ya riwaya.
Zikiwa chini ya mtunzi bingwa wa riwaya za taharuki nchini bwana HUSSEIN ISSA TUWA mtunzi wa vitabu vya mtuhumiwa,mkimbizi,utata part 1 na 2,bondia,mdunguaji,miss tanzania na WIMBO WA GAIDI.
Alikuwa anatoa story ya wimbo wa gaidi ikafikia patamu sana akaikatisha na kusema haitoendelea tena ataitolea kitabu.
Wadau kiu ilitukamata sana na kama alosto mnayo lalamika nayo hapa sisi wengine ilitukaa haswa.tukajiuliza kama wadau tatizo nini?
Tukajichanga pesa za kutosha nakumkabidhi bwana Husen tuwa ili afanye mchakato wa kuingia kiwandani atutolee kitabu na kweli alifanya hivyo.
So hakuna mtu aliyefungua mdomo na kumtukana kuwa oooo anaringa sana sijui anazingua hapana.
Na ww kama waona mm nakuzingua usitukane watu pasipo sababu..kama vipi nitukane mm au acha kusoma mbona ni rahisi sana.
Na hakuna kitu ambacho sijawaambia..
Naamini season hii ya tatu sijawaangusha wengine mlikuwa mmelala lakini mm nilikubali kukaa mpaka saa 8.
ALL IN ALL JF NI number one usisumbuke mkuu kukimbilia huko kwenye magroup sijui page za fb utasumbuka tuu.jf ndio mwisho wa mchezo mkuu niamini mm.
Huko kwenye magroup ni biashara tuu ndio inafanyika kwa wiki story inatumwa mara 1 tena sehem mbili au tatu tuu basi.na ada watu wanalipia kwa mwezi.
Siyo hiyo mkuu.
Jaribu kwenda play store cheki aplication ya UWARIDI inavitabu vingi utasoma huko.tani yako
SureMkuu kuwa kama The Bold anawapa watu burudani hata usikii wakilalamika humu, mtu mpaka analishwa ban, lakini yupo tu. ushajitolea kuwaburudisha watu basi jitahidi uwawekee story kwa mida inayoeleweka, nafasi ya kuipata hiyo story we ndio unajua utabalance vipi.
Kipindi kile umewahita watu kutoka jukwaa la wakubwa walikuwa wanasoma story ya Danny wa vitumbua, ulianza na Peniella vizuri tu, hapo kati ukachanganya habari hivi hivi.
Mambo ya watu kutoa namba humu hayahusiki,
Mkuu Lege, lakuvunda halina ubani na sikio lakufa halisikii dawa nomba ufanye kile kilichopo ndani ya uwezo wako anaetaka atasoma asietaka atapita ivi maana ni dharau hadithi yako, muda wako, na gharama ni zako hisani yako ya kutaka ku share na marafiki zako wapendwa mtu anakutukana naomba ucpoteze mda wako kujibu tuhuma za kipuuzi, baadhi ya wanadamu hawana jema mkuuMkuu haina haja ya kutumia maneno
maneno makali na kauli kali pasipo sababu..laiti kama ungejua au kufaham hata usinge laum kwa kiwango hicho.
Mm nafaham hamu na kiu ya kufuatilia story nzuri hasa inapokatishwa au ishia pazuri lkn bado sijaona kiu hiyo kwako zaidi ya kukosa heshima na busara.huwezi mtukana mtu kisa tuu unatumia ID fake.
Naomba nikupe mfano hai na wakweli. Kuna story moja ilikuwa inatumwa facebook kwenye page ya KONA YA RIWAYA na kuna group moja la whatsapp nalo linaitwa kona ya riwaya.
Zikiwa chini ya mtunzi bingwa wa riwaya za taharuki nchini bwana HUSSEIN ISSA TUWA mtunzi wa vitabu vya mtuhumiwa,mkimbizi,utata part 1 na 2,bondia,mdunguaji,miss tanzania na WIMBO WA GAIDI.
Alikuwa anatoa story ya wimbo wa gaidi ikafikia patamu sana akaikatisha na kusema haitoendelea tena ataitolea kitabu.
Wadau kiu ilitukamata sana na kama alosto mnayo lalamika nayo hapa sisi wengine ilitukaa haswa.tukajiuliza kama wadau tatizo nini?
Tukajichanga pesa za kutosha nakumkabidhi bwana Husen tuwa ili afanye mchakato wa kuingia kiwandani atutolee kitabu na kweli alifanya hivyo.
So hakuna mtu aliyefungua mdomo na kumtukana kuwa oooo anaringa sana sijui anazingua hapana.
Na ww kama waona mm nakuzingua usitukane watu pasipo sababu..kama vipi nitukane mm au acha kusoma mbona ni rahisi sana.
Na hakuna kitu ambacho sijawaambia..
Naamini season hii ya tatu sijawaangusha wengine mlikuwa mmelala lakini mm nilikubali kukaa mpaka saa 8.
ALL IN ALL JF NI number one usisumbuke mkuu kukimbilia huko kwenye magroup sijui page za fb utasumbuka tuu.jf ndio mwisho wa mchezo mkuu niamini mm.
Huko kwenye magroup ni biashara tuu ndio inafanyika kwa wiki story inatumwa mara 1 tena sehem mbili au tatu tuu basi.na ada watu wanalipia kwa mwezi.
Mi niliishia season 4 episode 6 muendelezo nitapata wap mkuu nami nimslize?Naam
Haki ilitendeka
Hiyo hadithi ipo kwenye section gani? humu kwenye entertainment sijaionaNdo ushakwama ivo mkuu pole sana
Ila tafuta riwaya inaitwa Ufukwe wa Madagascar ipo humu ni nzur sana mm ndo napozea arosto ya Monica huko.
Ukiisearch inaonekana mkuuHiyo hadithi ipo kwenye section gani? humu kwenye entertainment sijaiona
Riwaya: Ufukwe wa MadagascarHiyo hadithi ipo kwenye section gani? humu kwenye entertainment sijaiona
[emoji106]Asante